Smartkahn
JF-Expert Member
- Jun 22, 2020
- 889
- 1,490
Sijui wapi na itakua lini?, sijui ni kina nani wale na mahali gani? pale masikini sijui kiliwasibu nini? hadi wakawa katika hali Ile!?
Nimewaona vijana wengi wakiwa wanajitoa muhanga kwa kujifukia na mchanga/kujizika wazima wazima baada ya kujichimbia mashomo(makaburi wenyewe) na wengine kabla ya kujifukia watajichoma moto/watajilipua na moto ndipo anaendelea na kujifukia...
Sasa binafsi nilishaachaga habari za kupuuzia njozi... Nimetafakari na kuona ya kwamba huenda uko mbeleni vijana wataenda mbali zaidi na kutumia mbinu za kigaidi (KUJITOA MUHANGA) katika kupigania kile wanachokiamini.
Ni mtizamo tu lakini wizara/vitengo husika viwe makini.
Nimewaona vijana wengi wakiwa wanajitoa muhanga kwa kujifukia na mchanga/kujizika wazima wazima baada ya kujichimbia mashomo(makaburi wenyewe) na wengine kabla ya kujifukia watajichoma moto/watajilipua na moto ndipo anaendelea na kujifukia...
Sasa binafsi nilishaachaga habari za kupuuzia njozi... Nimetafakari na kuona ya kwamba huenda uko mbeleni vijana wataenda mbali zaidi na kutumia mbinu za kigaidi (KUJITOA MUHANGA) katika kupigania kile wanachokiamini.
Ni mtizamo tu lakini wizara/vitengo husika viwe makini.