Nilichokifanya baada ya kutendwa


Umejimaliza mwenyewe
 
Kwanza kabisa kapime afya yako,kama una ngwengwe basi utulie home na kupiga menu ya ukweli huku ukitubu sana.

Kama huna ngwengwe basi katubu uliyoyafanya kwani umebeba laana zaidi ya kilo 50 kutoka kwa hao uliowatenda. Kisha katoe sadaka kwa Mungu mwenyenzi.
 
duuuh nimecheka sana
 

50 + 15 =75 nenda tu ukaanze dawa ndugu yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…