1.Mtu mwenye marafiki wengi hafai kuwa kiongozi mkuu wa nchi,maana atashndwa kufanya maamuzi makubwa kwa maslahi ya rafk zake.
2.Kiongozi anayeingia madarakani kwa shangwe za watu wengi hawezi kueendana na mahitaji makubwa ya wapiga kura wake maana atakuwa busy kuweka sawa mambo ya rafiki zake ama hata kama sivyo basi hawezi kutimiza mahtaj makubwa ya wananch wake maana yeye maye ni binadamu wa kawaida.
3.Afya ya kiongozi mkuu wa nchi anayesongwa na mawazo ya kutafuta upande wa kuegemea kat ya marafiki,waliomuweka madarakan au wananchi hudhoofu haraka.Hii inaendana na kuingiwa na uzee kwa kasi.
4.Ukiwapa sana uhuru wanao mwisho watakutoga na vidole machoni, kama vile alivyofanya kwa wandishi wa habari na wananchi kwa ujumla, sasa anatafuta jinsi ya kudhibiti while its too late watu wameshajielewa.
5.Wanasiasa wote ni wanafiki
2.Kiongozi anayeingia madarakani kwa shangwe za watu wengi hawezi kueendana na mahitaji makubwa ya wapiga kura wake maana atakuwa busy kuweka sawa mambo ya rafiki zake ama hata kama sivyo basi hawezi kutimiza mahtaj makubwa ya wananch wake maana yeye maye ni binadamu wa kawaida.
3.Afya ya kiongozi mkuu wa nchi anayesongwa na mawazo ya kutafuta upande wa kuegemea kat ya marafiki,waliomuweka madarakan au wananchi hudhoofu haraka.Hii inaendana na kuingiwa na uzee kwa kasi.
4.Ukiwapa sana uhuru wanao mwisho watakutoga na vidole machoni, kama vile alivyofanya kwa wandishi wa habari na wananchi kwa ujumla, sasa anatafuta jinsi ya kudhibiti while its too late watu wameshajielewa.
5.Wanasiasa wote ni wanafiki