James88
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 1,700
- 1,761
Kitu kikubwa sana ambacho naweza kusema kwamba nimejifunza kuhusu mafanikio ni kwamba, principles ambazo hupelekea watu kufanikiwa are the same, no matter what ni kitu gani mtu unakifanya katika maisha yako.
Hapa sizungumzii wale watu wanaofanya 9 to 5 jobs (mlioajiriwa), hapa nazungumzia wajasiriamali. Whether wewe ni mkulima, mwanamuziki, mfugaji, mfanyabiashara ama mtu yoyote ambaye amejiajiri katika sector yoyote binafsi.
Kuna vitu itakulazimu tu uvifuate wakati ukiwa unahustle na hata baada ya kufanikiwa. Mambo kama kupenda sana kulala, kushindwa kuplan mambo yako, Kuwa na marafiki usiojifunza chochote kutoka kwao.
Kushindwa kabisa kufuata mambo uliyojipangia, kuwa na matumizi mabaya ya pesa (kushindwa kuweka akiba) na mambo mengine mengi kama hayo ni baadhi tu ya vitu ambavyo ukiwa umejiajiri na ukaviendekeza basi kwako mafanikio huenda ikawa ni ndoto.
Hapa sizungumzii wale watu wanaofanya 9 to 5 jobs (mlioajiriwa), hapa nazungumzia wajasiriamali. Whether wewe ni mkulima, mwanamuziki, mfugaji, mfanyabiashara ama mtu yoyote ambaye amejiajiri katika sector yoyote binafsi.
Kuna vitu itakulazimu tu uvifuate wakati ukiwa unahustle na hata baada ya kufanikiwa. Mambo kama kupenda sana kulala, kushindwa kuplan mambo yako, Kuwa na marafiki usiojifunza chochote kutoka kwao.
Kushindwa kabisa kufuata mambo uliyojipangia, kuwa na matumizi mabaya ya pesa (kushindwa kuweka akiba) na mambo mengine mengi kama hayo ni baadhi tu ya vitu ambavyo ukiwa umejiajiri na ukaviendekeza basi kwako mafanikio huenda ikawa ni ndoto.