LIGEDENGE 1
Senior Member
- Nov 15, 2013
- 184
- 29
Hakuna hata malori wala mabasi ya mkoa yanayoingia wala kutoka dar. Morogoro road nyeupeee...zipo daladala na gari ndogo tu.
Hakuna hata malori wala mabasi ya mkoa yanayoingia wala kutoka dar. Morogoro road nyeupeee...zipo daladala na gari ndogo tu.
Mkuu kwa leo Mbezi Mwisho hadi Posta ukiwa na private car unatumia dakika 30 hadi 40 wakati siku nyingine huwa ni dakika 90 hivi.
Ni kweli sababu ni hiyo ya kutokuwepo kwa malori yanayoingia jijini, kwa kawaida kuanzia alfajiri ya saa 11 msururu wa malori huwa unaanza kujilimbikiza pale Kimara Mwisho na kadiri muda unavyojongea foleni nayo hukua taratibu na baadaye huamia Ubungo.
Hakuna hata malori wala mabasi ya mkoa yanayoingia wala kutoka dar. Morogoro road nyeupeee...zipo daladala na gari ndogo tu.
Kuna siku Dar es salaam itabaki kama kisiwa. Hebu fikiria kama Morogoro road, Bagamoyo road na Mbagala zikifungwa tutatokea wapi?
Mkuu kwa leo Mbezi Mwisho hadi Posta ukiwa na private car unatumia dakika 30 hadi 40 wakati siku nyingine huwa ni dakika 90 hivi.
Ni kweli sababu ni hiyo ya kutokuwepo kwa malori yanayoingia jijini, kwa kawaida kuanzia alfajiri ya saa 11 msururu wa malori huwa unaanza kujilimbikiza pale Kimara Mwisho na kadiri muda unavyojongea foleni nayo hukua taratibu na baadaye huamia Ubungo.
duh inatisha
we acha tu. kuna abiria wa mkoa wamejaa mbez mwisho. nadhan hawakujua kama leo huduma hakuna
Kuna siku Dar es salaam itabaki kama kisiwa. Hebu fikiria kama Morogoro road, Bagamoyo road na Mbagala zikifungwa tutatokea wapi?
Natamani nchi nzima ijae mafuriko huenda tukatia akili!
Usijiombee mabaya,kwani hata wewe utakuwa mhanga pia
Unadhani mimi ni kama wale ambao wanakwenda vitani lakini hawataki kwenda mstari wa mbele?
Hapana
Ninapotaka haya ninamaana hata mimi yanifike pia maana wapu.uzi ni wengi sana na kufikiri kwao ni dhambi
Yatukute na kubaki hatuna kitu kabisa huenda tutajua thamani ya kufikiri!
hii hali iendelee waonaje...? ndio maana huku kwetu njia panda segerea haina magari yatokeayo huko...