Nilichogundua baada ya utafiti

Pededje

Senior Member
Joined
May 31, 2015
Posts
136
Reaction score
26
Wakuu, za saizi?
Poleni kwa majukumu.
Kuna utafiti nimekua nikiufanyia kazi kwa miezi miwili sasa. Kumbe kuna uhusiano kati ya ukubwa wa mdomo na ukubwa wa papuchi? Nlikua sijui... Binti mwenye mdomo mkubwa ana papuchi kubwa pia, kaka mwenye kidole cha kati kirefu ana "mwiko" balaa.

Vipi utafiti wangu?
 
Utawakosesha watu soko kama ni kweli Ohoooo
 
Hakuna ukweli wowote, lete sample size and photos.
 
umetumia method gani ya kupata data?
 
Shule zikifungwa hizi huwa ni kazi kweli kweli,...Ngoja nikupe mfano mdogo wewe bwana mdogo na huo utafiti wako hewa, kama ni mfuatiliaji wa masuala ya michezo bila shaka hutashindwa kuwafahamu wachezaji nyota wa mpira wa kikapu, Lebron James pamoja na Kevin Durant.

kwa ufupi hawa jamaa wana vidole vya kati virefu kupita maelezo, lakini cha kushangaza baada ya Camera za mapaparazi kuwafumania wakiwa wamejisahau na kuacha viungo vyao vya uzazi kuwa wazi, viliweza kuonekana ni vyenye maumbile ya kawaida. Tena Lebron ndio KIBAMIA kbs.

Mfano mwingine ni Mzee Majuto ambaye alipigwa picha akiwa amekaa vibaya na kukutwa na kitu cha hatari angali vidole vyake vyote ni vifupi.


Nimemaliza, cku nyingine uclete Fiksi na Pumba kama hizo kwenye jukwaa hili

NB: No Research, No Right To Speak. CC Pededje
 
Last edited by a moderator:
Wa kishua, wewe je? Una vidole virefu?
 

Naomba picha ya Majuto nidhibitishe.
 
Last edited by a moderator:
Jinsia yako tafadhali

Ili tujue utafiti kwa wanawake uliufanyaje na kwa wanaume uliufanyaje....
 

yani akili ya watanzania bhana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…