Atukuzwee
Senior Member
- Aug 6, 2017
- 113
- 211
Habri za weekend Jf
I hope mko poa
Ee bwanaa ee si unajua kijana akiwa kwenye kile kipindi cha foolish age anapenda sana kukwichi kwichwi I was one of them sasa bana nikawa naambiwa Mwanangu soma wanawake wapo tuu tena wengi utafanya mpaka utachoka na utawaacha duuh mm si nikaonaga mzee ananizinguaa
Daah kweli bhna Yale maneno ya Mzee nimeyaaamini yani sku hizi Nina wanawake kibao mpka yaani now nikimuona mwanamke naona kawaida sanaa coz shakula kila aina ya mwanamke na bado wanakuja daaah
Now nachagua mmoja nibaki nae mpaka nimuoe
Ushauri
Vijana mnaong'ang'ania wanake since mnasoma achna nao soma kaza butii utakuja kukutana nao wengi sana .Mdogo Wangu piga kitabu wanawake wapo Wa kutosha
I hope mko poa
Ee bwanaa ee si unajua kijana akiwa kwenye kile kipindi cha foolish age anapenda sana kukwichi kwichwi I was one of them sasa bana nikawa naambiwa Mwanangu soma wanawake wapo tuu tena wengi utafanya mpaka utachoka na utawaacha duuh mm si nikaonaga mzee ananizinguaa
Daah kweli bhna Yale maneno ya Mzee nimeyaaamini yani sku hizi Nina wanawake kibao mpka yaani now nikimuona mwanamke naona kawaida sanaa coz shakula kila aina ya mwanamke na bado wanakuja daaah
Now nachagua mmoja nibaki nae mpaka nimuoe
Ushauri
Vijana mnaong'ang'ania wanake since mnasoma achna nao soma kaza butii utakuja kukutana nao wengi sana .Mdogo Wangu piga kitabu wanawake wapo Wa kutosha