Nakupenda sana mpezni wangu Mungu atakupa shifaa tutaonana kwa furaha.
- Si kitu kunipuuza, kwako tamaa sikati
Kilio sitogeuza, roho yangu mahtuti
Nilani utavyoweza, lakini sikubanduki
- Usirudi japo mwaka, Mimi nitakungojea
Ukirudi nakutaka, wala sitoona haya
Moyo wangu meridhika, sichoki kuvumiliya
- Wajuwa ninakupenda, ndio maana waniringiya
. Unanifanyia inda, mapenzi kuyasusiya
Baada ya hichi kidonda, na moto unakitiya- Anayependa kikweli, hachoki kuvumiliya,
Habadilishi kauli, hata ukimchukiya.
Nimefurahi sana kunitumia ujumbe kuwa umefika salama, najua unanijali sana na elewa nakupenda sana and no words can say how much I love you.true love never die
Mkuu, je umefuata sheria ya hatimiliki kwa hizo beti mbili za mwisho?