Huyu mleta mada ushauri unaomfaa mi ni apigwe makofi tu ndipo atakuwa sawaDah nimevaa viatu vya mwamba vikavivua siwezi.
Thread ifungweSasa ataachaje kuwasiliana na baba kijacho kuhusu jina la mtoto wao.
Pole sana mkuu
π si atakufaMleta mada unapaswa kupigwa ngumi za Mandonga ubongo wako umeganda sanaπ
π ashtuliwe kidogo ubongoHuyu mleta mada ushauri unaomfaa mi ni apigwe makofi tu ndipo atakuwa sawa
Anatumalizia pumzi tuπ€£π€£π€£π si atakufa
Mimi sipo kwenye hiyo kesi πAnatumalizia pumzi tuπ€£π€£π€£
We ndio Wakili wanguπ€£π€£π€£Mimi sipo kwenye hiyo kesi π
Sawa fanya tukio huko tayari nshajipangaWe ndio Wakili wanguπ€£π€£π€£
Ndio nimepata location yake tegemea tukio ndani ya dakika 3 zijazo..hatuwezi kupotezewa Pumzi kizembe zembe π€£π€£π€£Sawa fanya tukio huko tayari nshajipanga
ππ sawa najua hutoniangusha ili nifanye kazi kweli kweliNdio nimepata location yake tegemea tukio ndani ya dakika 3 zijazo..hatuwezi kupotezewa Pumzi kizembe zembe π€£π€£π€£
Sikaungushi..jiandae tu π€£π€£π€£ππ sawa najua hutoniangusha ili nifanye kazi kweli kweli
Sawaaaaaa πSikaungushi..jiandae tu π€£π€£π€£
Nishamaliza kazi..hutoona akisema chochote tena π€£π€£π€£Sawaaaaaa π