Nikweli hakatwi mtu anakatwa fisadi

Nikweli hakatwi mtu anakatwa fisadi

Baba Hellen

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2012
Posts
763
Reaction score
91
Nashukuru wapambe kwakuweka wazi hilo. Historia inaniaambia mafuriko ya lishawahi kuzuiwa kwa fimbo ya musa bahari ya shamu kivipi mkono ushindwe.Fisadi utakatwa tu hakuna namna
 
Watu wenye akili nyingi tunajua madhara yatakayofanywa iwapo team EL watakamata hatam. Miaka 10 ijayo, nchi itakuwa damaged beyond repair!
 
Watu wenye akili nyingi tunajua madhara yatakayofanywa iwapo team EL watakamata hatam. Miaka 10 ijayo, nchi itakuwa damaged beyond repair!

Hivi ni kwanini nchi hii, watu wanaamini ukimaliza muda wa uongozi wa miaka mitano(5) lazima "umalizie" mingine mitano?
 
Hivi ni kwanini nchi hii, watu wanaamini ukimaliza muda wa uongozi wa miaka mitano(5) lazima "umalizie" mingine mitano?

Logically, ni ngumu kumtoa candidate wakati dola ipo chiniyake (unless tunaongelea demokrasia zilizokomaa).
Ila hakuna lisilowezekana chini ya jua!
 
Back
Top Bottom