Leo wakati naangalia tukio la kurudi ccm wanachama-madiwani wa chadema nikapata swali la kujiuliza... hivi wachaga na waarusha wamewahi kutoa watemi au machifu wenye nguvu?
Nawaona wadhaifu sana kwamba wanasalim amri kirahisi tu.... sijawahi kusoma popote wababe wa kichaga au kiarusha kama ninavyomsoma mkwawa, isike nakadhalika....
Endeleeni kujivua uchadema na kesho akija mbabe mwingine mtajipeleka kwake....
Nawaona wadhaifu sana kwamba wanasalim amri kirahisi tu.... sijawahi kusoma popote wababe wa kichaga au kiarusha kama ninavyomsoma mkwawa, isike nakadhalika....
Endeleeni kujivua uchadema na kesho akija mbabe mwingine mtajipeleka kwake....