Hahahaaah Mkuu mimi sijakuita Dogo.
Ila kwetu sisi hilo DOGO halina shida hata kidogo ni kama sifa. Nina kaka zangu ambao tunaitana DOGO na wamenizidi umri na wengine tunalingana. Usipaniki kwa kuitwa dogo,,,,,,,,,by the way kama unakaribia 30 kwangu ni dogo maana mimi naiacha 40.
c.c. Dogo
Patrickn