The patriot man
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 969
- 1,065
Mambo vip? wakubwa zangu shikamooni wadogo zangu mambo?
Ipo hivi jamani nina mwanamke muongo saana yaani alishanidanganya mpaka nimekua shazoea yaani mpaka akiniambia kitu now simuamini kabisaa yaani ata akijaribu kuniaminisha simuamini hata chembee yaani simuamini kwa sababu ya uwaongo wake aisee.
sasa kilichonifanya nije hapa yule mwanamke nilikuaga nae mkoani baada ya kuona uwongo umezidi sana nikaona bora nimuache tuu ila yeye hakukubali matokeo. mwaka 2017 mwezi wa 3 nikaona simu kupokea ni yeye nikamuambia unasemaje? eti akaniuliza hivi mara ya mwisho mimi na wewe kukutana kimwili ni lini?
nikamuambia sikumbuki akanambia sawa. nikamuambia kuwa usinitafute tena now nina mdada mwingine na soon nitamuoa akanambia Hongera.
Nimekaa siku moja kuna broh wake akanipigia simu akanambia kuwa demu wako ana mimba kubwa tuu nikamuambia kasema ni ya nani akasema hajui bado? mwanamke akajifungua mtoto mtoto amekua mpka kafikisha miezi 9 sijatafutwa ikabidi nimtafute nikamuambia nasika una mtoto akanmbia ndio nikamuuliza ni wa nani aksema Ni wa (john) factious name ambae alikuwaga ni ex wake niakmumbia sawa.
Nikaaa akanza kunitafuta ooh mtoto ni wako siku niliamua kukujibu vile kutona na siku ile nilivokupigia simu nikakuuliza ukanijibu dharau ndo mana na mimi nikaamua kukujibu vile ila mtoto ni wako nikamkataa nikamuambia mtoto sio wangu kama ni wangu ungenambiaa akanmbia sikutaka kukuambia kwasababu ulishanambia una Mchumba na unaenda kumtambulisha kwenu.
wakuu samahani kwa maelezo marefu ila kwa maelezo hayo naomba ushauri mtoto atakua ni wangu au anatka kunibambikiziaa mimi binafsi sijakubaliana ila kuna nafsi mbili zinapingana moja inasema ni wangu nyingine sio wangu naombeni ushauri wenu tafadhali.
Ipo hivi jamani nina mwanamke muongo saana yaani alishanidanganya mpaka nimekua shazoea yaani mpaka akiniambia kitu now simuamini kabisaa yaani ata akijaribu kuniaminisha simuamini hata chembee yaani simuamini kwa sababu ya uwaongo wake aisee.
sasa kilichonifanya nije hapa yule mwanamke nilikuaga nae mkoani baada ya kuona uwongo umezidi sana nikaona bora nimuache tuu ila yeye hakukubali matokeo. mwaka 2017 mwezi wa 3 nikaona simu kupokea ni yeye nikamuambia unasemaje? eti akaniuliza hivi mara ya mwisho mimi na wewe kukutana kimwili ni lini?
nikamuambia sikumbuki akanambia sawa. nikamuambia kuwa usinitafute tena now nina mdada mwingine na soon nitamuoa akanambia Hongera.
Nimekaa siku moja kuna broh wake akanipigia simu akanambia kuwa demu wako ana mimba kubwa tuu nikamuambia kasema ni ya nani akasema hajui bado? mwanamke akajifungua mtoto mtoto amekua mpka kafikisha miezi 9 sijatafutwa ikabidi nimtafute nikamuambia nasika una mtoto akanmbia ndio nikamuuliza ni wa nani aksema Ni wa (john) factious name ambae alikuwaga ni ex wake niakmumbia sawa.
Nikaaa akanza kunitafuta ooh mtoto ni wako siku niliamua kukujibu vile kutona na siku ile nilivokupigia simu nikakuuliza ukanijibu dharau ndo mana na mimi nikaamua kukujibu vile ila mtoto ni wako nikamkataa nikamuambia mtoto sio wangu kama ni wangu ungenambiaa akanmbia sikutaka kukuambia kwasababu ulishanambia una Mchumba na unaenda kumtambulisha kwenu.
wakuu samahani kwa maelezo marefu ila kwa maelezo hayo naomba ushauri mtoto atakua ni wangu au anatka kunibambikiziaa mimi binafsi sijakubaliana ila kuna nafsi mbili zinapingana moja inasema ni wangu nyingine sio wangu naombeni ushauri wenu tafadhali.