Niko njia panda naombeni msaada

Niko njia panda naombeni msaada

Mama gani anapigia viboyfriend simu?

Real african mama would never do that shit,
Tena akisikia huli coz of a boy, damn she gonna beat the shit out of you

Piga chini husimpotezee muda kwa huruma zisizo na msingi

You are very right kuhusu mama kuingilia show. Kama mimi kuanzia hapo wote nisingewachukulia siriaz tena
 
Huyo sio mke wa kuoa kbs, angekuwa wa kuoa asingekuwa anakukosoa hivyo angekuwa mstaarabu, mvumilivu na anatumia busara kwny kuongea. Huyo ana kiburi na mjuaji atakuua na presha nakushauri achana naye huyo ana mtu tayari anakufukuza kiphysicogia kama hujui
 
Wewe usitusumbue, inaonesha tayari umeishafanya maamuzi kabla ya kuja hapa.
 
mwaka jana mwishoni kuna msichana nilianza nae uhusiano wa kimapenzi japo kua rafiki zangu karibu wote hawakuniunga mkono mimi kua na yule dada. nami nilichukulia kawaida tu ni maoni tu ambayo watu wanweza wakazungumza.

mwanzoni mwa mwaka tukiwa katika penzi zito kuna maneno aliyokua anaongeaga nami nilikua siyapendi japo sio mara zote nilikua nikimkaripia kuhusu kauli zake,
mara utamsikia akisema umenikuta kwetu nikiwa nakula,navaa na chochote ninachotaka kutoka kwetu nakipata,
mara pamoja na kwamba natongozwa na watu wenye hela na magari ninawakataa nimeamua kukupenda wewe kwa sababu unamapenzi ya kweli japo hauna pesa bado, mara saa ingine nikisafiri ananiambia ulienda kwa wadada wengine.

imepita kipindi hivi kama mwezi hatujawasiliana vizuri na juzi nikakaza sitaki mawasiliano nae tena leo mama yake mzazi kanipigia simu ananieleza kwamba yule dada hataki kula wala kusikia chochote hivyo anaomba nimsamehe mwanae!!!
na mimi sipo tayari kabisa kua nae tena kulingana na sababu hizo na zingine nyingi. sasa wakuu nifanyeje???
na dada anataka kuolewa lakini mi ndo kwanza nishabadilisha maamuzi
msaada samahani....


Huyu inaonekana kakata tamaaa ya kuolewa ili ajikomboe kimaisha na ndiyo maana alikuwa anakuongelesha mafumbo ili nawe ushituke ujisikie guilty then uingie kichwa kichwa umuoe.
 
Uyo dada anakusimanga sana,,sasa mambo ya kwetu nilikua nakula leo umezingua wanasema apigi msosi kwaajili yako.
 
yani kwa kweli mi naona ni chenga tu, na kigezo cha kua mke wangu hana ata kimoja zaidi ya ile portability yake tu, ila sifa zingine hana
Kwani wewe una nini cha ajabu? Unaonekana kinakuuma huyo dada kusema angekuwa na mwenye hela unahisi hufikii viwango sasa kuokoa your ego unaamua kumdegrade huyo binti eti hana kigezo cha kuwa mke wako kwani ulishikiwa bunduki uwe nae... man up boy
 
Tupa kule huyo ni shetanii..
Wanawake wapo chungu nzima...mizigo ya nini brother..!?!!
 
mwaka jana mwishoni kuna msichana nilianza nae uhusiano wa kimapenzi japo kua rafiki zangu karibu wote hawakuniunga mkono mimi kua na yule dada. nami nilichukulia kawaida tu ni maoni tu ambayo watu wanweza wakazungumza.

mwanzoni mwa mwaka tukiwa katika penzi zito kuna maneno aliyokua anaongeaga nami nilikua siyapendi japo sio mara zote nilikua nikimkaripia kuhusu kauli zake,
mara utamsikia akisema umenikuta kwetu nikiwa nakula,navaa na chochote ninachotaka kutoka kwetu nakipata,
mara pamoja na kwamba natongozwa na watu wenye hela na magari ninawakataa nimeamua kukupenda wewe kwa sababu unamapenzi ya kweli japo hauna pesa bado, mara saa ingine nikisafiri ananiambia ulienda kwa wadada wengine.

imepita kipindi hivi kama mwezi hatujawasiliana vizuri na juzi nikakaza sitaki mawasiliano nae tena leo mama yake mzazi kanipigia simu ananieleza kwamba yule dada hataki kula wala kusikia chochote hivyo anaomba nimsamehe mwanae!!!
na mimi sipo tayari kabisa kua nae tena kulingana na sababu hizo na zingine nyingi. sasa wakuu nifanyeje???
na dada anataka kuolewa lakini mi ndo kwanza nishabadilisha maamuzi
msaada samahani....
Kuna sehemu umeruka mkuu! Kama Kweli unataka ushauri sema kile ambacho hujasema!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom