Kuachwa kupo siyo lazma ukamwacha/ukaachwa na asye /ucye kupenda /mpenda, ila mm hua namwacha yule nnae mpenda ili acje kuniacha yeye nkajikuta nakua miongon mwa walio umizwa.
Sasa nahitaji msaada nifanyeje ili nidumu na yule nnae mpenda pasipo hofu ya kuachwa inayopelekea kumuacha huku NAMPENDA??