Wazo Langu
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 1,381
- 842
Nilivyokua msichana nilikua nawaza mahusiano yangu vile yatakavyokuwa.
Nilikua najiambia tutakua tunavaa sare mimi na mke wangu na watoto. Kila mwezi tunapita picha nzuri.
Weekend moja moja tunatoka sisi wawili tunaendesha gari tunaenda popote. Tunaenda tunaenda tunaendaaa hadi tukichoka kuendesha tunapaki hapo tunapita story tunahesabu magari tunakua tumepumzika halafu tunageuza taratibu. Tukifika mbelemble tunatafuta mahali pa kulala tunachukua chumba tunalala hapohapo.
Siku nyingine tunaenda shambani mbali tunakaa huko kuhesabu maembe na kuku tunapiga mapicha.
Nyie nilichokuwa nakiwaza jamani. Mapenzi matamu nyie
Tunakaa kwenye kochi mume wangu amekaa mimi nakaa chini nimemuegemea magotini tunaangalia movies hapo nimevaa kinguo kidogo naye amezaa nguo za kushawishi.
Siku ingine tunaangalia album ya harusi na picha zetu za zamani. Jamani nyie kumbe mambo ni raha hivi.
Nina hasira hapa, niacheni tu
Nilikua najiambia tutakua tunavaa sare mimi na mke wangu na watoto. Kila mwezi tunapita picha nzuri.
Weekend moja moja tunatoka sisi wawili tunaendesha gari tunaenda popote. Tunaenda tunaenda tunaendaaa hadi tukichoka kuendesha tunapaki hapo tunapita story tunahesabu magari tunakua tumepumzika halafu tunageuza taratibu. Tukifika mbelemble tunatafuta mahali pa kulala tunachukua chumba tunalala hapohapo.
Siku nyingine tunaenda shambani mbali tunakaa huko kuhesabu maembe na kuku tunapiga mapicha.
Nyie nilichokuwa nakiwaza jamani. Mapenzi matamu nyie
Tunakaa kwenye kochi mume wangu amekaa mimi nakaa chini nimemuegemea magotini tunaangalia movies hapo nimevaa kinguo kidogo naye amezaa nguo za kushawishi.
Siku ingine tunaangalia album ya harusi na picha zetu za zamani. Jamani nyie kumbe mambo ni raha hivi.
Nina hasira hapa, niacheni tu
