mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,493
- 767
Jamani wana JF, habari za jamvi... nlipotea kidogo!!
Bwana katika zunguka zunguka yangu kijiweni juzi, nikakaa na mdau mmoja akanipa live kwamba huwa kila akijaribu kufanya mapenzi na mwanamke ambaye wanakutana kwa mara ya kwanza kimwili hasimamishi.. au atapata taabu sana kupata japo raundi moja!! Mh! katika kuchunguza zaidi, mmoja akaniambia ni kweli kabisa, tena yeye ilibidi asitumie condom siku hiyo maana kila akitaka kuivaa tu kitu kinashuka mithili ya ile miba fulani kule kijijini ukiigusa tu inanywea!!
Nikaendelea na uchunguzi.. mwingine akaniambia tena siku hiyo kajiandaa kweli kweli kakusanya njaa ya mwezi mzima kufika Hola, akaulizwa tatizo nini, kimya!! Akajielezea -ooh mbona nikiwa na demu wangu napiga kazi sana, akajibiwa 'ungekuja nae'...hahaha!
Nacheka kwa maana wote hao kwa madem zao wako poa vibaaya mno kiasi kwamba akiingia chumbani tu ngoma inakamua 90 degrees!! Jamani, hili tatizo lipoo? Ni saikolojia tu au kuna mengine?
Ni hilo tu kwanza kwa leo
Bwana katika zunguka zunguka yangu kijiweni juzi, nikakaa na mdau mmoja akanipa live kwamba huwa kila akijaribu kufanya mapenzi na mwanamke ambaye wanakutana kwa mara ya kwanza kimwili hasimamishi.. au atapata taabu sana kupata japo raundi moja!! Mh! katika kuchunguza zaidi, mmoja akaniambia ni kweli kabisa, tena yeye ilibidi asitumie condom siku hiyo maana kila akitaka kuivaa tu kitu kinashuka mithili ya ile miba fulani kule kijijini ukiigusa tu inanywea!!
Nikaendelea na uchunguzi.. mwingine akaniambia tena siku hiyo kajiandaa kweli kweli kakusanya njaa ya mwezi mzima kufika Hola, akaulizwa tatizo nini, kimya!! Akajielezea -ooh mbona nikiwa na demu wangu napiga kazi sana, akajibiwa 'ungekuja nae'...hahaha!
Nacheka kwa maana wote hao kwa madem zao wako poa vibaaya mno kiasi kwamba akiingia chumbani tu ngoma inakamua 90 degrees!! Jamani, hili tatizo lipoo? Ni saikolojia tu au kuna mengine?
Ni hilo tu kwanza kwa leo