kibori nangai
JF-Expert Member
- Jan 14, 2015
- 1,071
- 1,336
Wanajamii foruma nawasalikuu sana poleni sana na mahangaikoo ya siku nzimaa
Niwasimuliee mkasaa kidogoo nimehamishwa kikazi mkoa mmoja humu katikati ya nchiii nimemuacha mama watoto huko mkoanii ,nimekuwa nikila mtaani kwa miezi sita hadi nikachokaa sana nimeamua kujipikiaaa toka mwezi umeanzaaa
Lkn sasa shida nikiwa nakulaaaa lazima idondokeee kila maraa sasa gheto linakuwa chafuuuu hadi keroo hadi namkumbuka mama watotooo
Nifanyajee ndugu zanguuuu
Niwasimuliee mkasaa kidogoo nimehamishwa kikazi mkoa mmoja humu katikati ya nchiii nimemuacha mama watoto huko mkoanii ,nimekuwa nikila mtaani kwa miezi sita hadi nikachokaa sana nimeamua kujipikiaaa toka mwezi umeanzaaa
Lkn sasa shida nikiwa nakulaaaa lazima idondokeee kila maraa sasa gheto linakuwa chafuuuu hadi keroo hadi namkumbuka mama watotooo
Nifanyajee ndugu zanguuuu