pole ndugu yangu una tatizo kama langu ,pana vitu viwili una alage ya chakula flani unapokula ,ama hali hewa joto ama baridi unapo oga maji ,kuna vidonge ukitumia unapata kupona kwa muda ,tafiti ktk vyakula ujue ni kipi ukila kinatokeza alage
Hiyo itakuwa ni alegi ya chakula fulani. Niliwahi kuwa na hali kama hiyo baada ya muda nikagundua kumbe nikila PWEZA ndo nawashwa na kuvimba. Nimeacha kula pweza na kuwashwa kuwetoweka.
Nenda hospitali ukapime. Uwezekano mkubwa ni kuwa una MINYOO. Kama huna basi una allergy ya kitu fulani labda chakula, nguo, mafuta, manukato, vumbi, baridi etc... Ni juu yako kutafuta hicho kitu mwenyewe. Itabidi utengeneze chati.
Anza na mafuta, sabuni, vumbi, baridi na manukato halafu nguo.
Malizia na chakula japo inaweza kukuchukua muda mrefu sana hata kabla hujagundua.
Kila la heri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.