Nikaona maiti zao..!

Nikaona maiti zao..!

Mbona mwnywe kshasema c yke, hta kma imeshawekwa kuna wngne hatujaiona, litle angel story nzuri sana
 
Mimi si mtoa machozi hovyo hata katika misiba lakini the way this thread nilivyoisoma nimemwaga chozi. Eeeh Mungu nisaidie nami kama nimewahi kuahidi kufanya kitu basi nitekeleze......Amen.
 
Dah! hii story yako imenigusa sana...Hongera sana kwa uamuzi wako wa haraka wa kumsaidia kijana mpaka ameweza kusimama kwa miguu yake mwenyewe. Nakubaliana nawe Kijana Siame ni mwanao kabisa.

Kuna vitu vinatokea hapa duniani wakati mwingine vinakuacha mdomo wazi na kukushangaza sana na huwezi kupata jibu la kuridhisha imekuwajekuwaje.

Ubarikiwe sana
 
Kwangu mimi hata iwe ya kokopi na kukopoa it doesn't matter, kwanza sikuwai kuisoma huko nyuma wala kusimuliwa na mtu.Yaani in short its a very touching story mwacheni Mungu aitwe Mungu, santekalesa.
 
Nimesoma mpaka machozi yananitoka!!

aisee umenikumbusha kuna siku nililia sana sana assubuhi,nilimwona mtu anaomba omba halafu amekonda sana ana vidonda shingoni hawezi hata kugeuka. Nilitafakari nikasema eeh MUNGU mponye mtu huyu,nikammshukuru kwa hali niliyonayo na kuona kama vile nimependelewa. all in all tusali sana na pia tusaidie wenye matatizo huwezi jua kesho utakuwa katika hali gani.
 
Hii stori imenitoa machozi...

pole mwaya,jitahidi umfanyia kila mtu jambo jema na pia kusali sana na kuwaombea wenye matatizo mbalimbali. make a habit kusali kila unapopata muda hata kwa dakika tu MUNGU wa mbinguni anasikia.
 
Mbona hii story ni ya Mtambuzi? Au umechange jina vile umezaliwa leo?

my dear,nimepost ili watu wapate ujumbe doesnt matter ni ya nani, maana hata mi nimeipata kwa baada ya friend wangu kuiforward kwangu.
 
Nadhani utakuwa mrithi sahihi wa shigongo. Bado shehe yahaya hussein.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

hahaaa, am very poor in writing. hii nimeicopy na kupaste hapa nilitumiwa kwenye email nikaona niweeeke hapa kwa ambao hawajaisoma...
 
Kwangu mimi hata iwe ya kokopi na kukopoa it doesn't matter, kwanza sikuwai kuisoma huko nyuma wala kusimuliwa na mtu.Yaani in short its a very touching story mwacheni Mungu aitwe Mungu, santekalesa.

kwa kweli dunia hii ina mengi na pasipo kumshirikisha na kumtegemea MUNGU ni bure. mpendwa pray sana na uwaombee pia wenye mahiitaji Mungu awainue kulingana na mapenzi yake.
 
Dah! hii story yako imenigusa sana...Hongera sana kwa uamuzi wako wa haraka wa kumsaidia kijana mpaka ameweza kusimama kwa miguu yake mwenyewe. Nakubaliana nawe Kijana Siame ni mwanao kabisa.

Kuna vitu vinatokea hapa duniani wakati mwingine vinakuacha mdomo wazi na kukushangaza sana na huwezi kupata jibu la kuridhisha imekuwajekuwaje.

Ubarikiwe sana

Amen, BAK. but sio mimi hii nilitumiwa na rafiki yangu. haya yanawezekana kabisa ndo maana inatubidi tutende mema kwa watu wote huwezi kujua nani atakufaa kwa wakati gani.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mimi si mtoa machozi hovyo hata katika misiba lakini the way this thread nilivyoisoma nimemwaga chozi. Eeeh Mungu nisaidie nami kama nimewahi kuahidi kufanya kitu basi nitekeleze......Amen.

AMEN.AMEN! Na Mungu akubariki na kukuongoza katika hilo.
 
Huu uzi ulipita hapa siku si nyingi. Mods ufufueni na huu upotezee maana ni kujaza server tu. Ila kwa kweli ni soma tosha!! Tuwe na huruma tu maana hujui atakayekufaa.
 
ilianzia kwa Mtambuzi, imezungushwa kwenye emails hadi basi, sasa imerudi jf.

Kudesa raha!
 
Nimara yangu yakwanza kuisoma,kwakweli nimetokwa namachozi yafuraha/uchungu kwahii stori!
 
Back
Top Bottom