Mi nadhani unatakiwa utulie kwanza, kama naye anakupenda bila agenda ya siri atakuelewa, wik3 ni mapema mno, ukiona mtu anafanya haraka haraka, kuna kitu anatime ili bomu hata likilipuka iwe too late to revoke, (akili za kuambiwa, changanya na zako, Maneno yangu si sheria)