NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 11,280
- 14,547
Habari za uzima wakurugenzi nafikiri mpo poa na wanaojisikia vibaya na waliopata na majanga Basi mungu awape wepesi.
Twende moja kwa moja kwenye maada tajwa hapo juu, nahitaji mwenyekujua website nzuri nikajifunze programing.
Hata Kama Kuna mtu Ana tutorials Anazo Basi tusaidiane nitampa pesa ya maji yakunywa
Twende moja kwa moja kwenye maada tajwa hapo juu, nahitaji mwenyekujua website nzuri nikajifunze programing.
Hata Kama Kuna mtu Ana tutorials Anazo Basi tusaidiane nitampa pesa ya maji yakunywa
