Niimeamini mwanamke ukishazaa nae kuachana ni ngumu

manSniper

JF-Expert Member
Sep 9, 2015
814
678
Ni wiki chache nilileta uzi hapa kua binti niliezaa nae alitokea kaniambia tukate mawasiliano nae maana amepata mwanaume na wamependana sana na mwanaume kakubali kumwoa na kulea mtoto tulimbana ikabidi nikae kimya kama wadau apa walivyonishauri.

Badae nikaona tunaanza wasiliana kwa jeuri kama kawaida nikatuma matumizi ya mtoto nikamtumia yeye nikaona asante nyingi alafu nikajifanya bize sipigi simu akaanza kujileta mwenyewe kuwa ni hasira nini tusameheane nikamwambia poa nikaendelea piga kimia sasa ananipigia simu tuonane mtoto anahamu ya kuniona pia kamiss gem.

Niliamua kupotezea kumwambia nipo bize siwezi enda kama matumizi ya dogo ni kama kawaida nitatuma sasa najiuliza je huyo mwanaume aliejitolea kuoa na kulea inakuaje? Na je nifanyeje kumpotezea maana now sitaki kumsaliti wife tena maana wife ni mjamzito na mapenzi yamehamia kwake sana.
 
Ukikubali huo mchezo atakuja kukwambia tena ana mimba yako. Kaa naye mbali kimahusiano.
 
  • Thanks
Reactions: cmp
Mwanamke aliyezalisha sio kwamba anamatatizo zaid ya yule ambay hajaolewa. Unaeza ukaoa yule ambaye hana mtoto na mambo yakawa mabaya zaid. Haya mambo hayana ukabila
 
Kweli mkuu hata Mimi kuna mwanamke nilizae nae Na Nina muda mrefu Niko nae ameanza katabia flani Na Mimi Niko mbali nae kidogo bt nazani kuniambia tuachane anashindwa bt ameanza kunifanyia vituko Na Mimi nimeshagundua hilo na kuna MTU nazani amempata na ndio anaemshawishi bt na Mimi nataka niachane nae tu
 
Ujumbe wako kwa asilimia kubwa ni kweli, jambo hili huwa ni kwa sababu damu ziliungana zikawa mwili mmoja hata akikuchukia kiasi kikubwa ukijaonana nae tu anakuwa mpole jamani wanaume tumeumbwaje na Mungu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom