Nigerian Army is very weak and ineffective

Nigerian Army is very weak and ineffective

By elmagnifico :hebu kama umepita shule yatafakari maswalihaya kwa makini ikisha jiulize je, ni kwelinigeria kuna wasichana zaidi ya 230waliotekwa na boko haram?Kutoka kwa aremu oluwatimilehin peter:Got this from a post. 11 mysteries of themissing girls.1. Where are the parents of these missinggirls, we want to see them? (wole soyinka)."wako wapi wazazi wa hao wasichanawaliotekwa, tunataka tuwaone?" [kama kunawasichana waliotekwa ni lazimawangelijitokeza wazazi wa wasichana hao]2. Why has the government not publishedpictures of these girls? (wole soyinka)"kwanini mpaka leo serikali haijatoa picha zawasichana hao?" [hivi wasichana haowameingia chuoni bila ya kuacha kumbukumbuyeyote?]3. You need a lot of vehicles to transport 230girls, (godswill akpabio)."unahitaji magari ya kutosha kusafirishawanawake 230"4. How where they transported? If the girlswere made to walk in the bush track, how comeno villager saw them? (godswill akpabio)"wamesafirishwa vipi? Ikiwa wasichanawametembezwa njia za misituni, inakuajewanavijiji wasiwaone?"5. The girls were said to have been transportedin trucks (hilux), assuming 10girls per truck,that means we'll need about 23trucks for thegirls and about 7 trucks for the insurgents.(me)"wanadai wasichana hao wamesafirishwa kwamagari ya aina ya hilux, jaalia kwa wingi kilagari halitozidi watu kumi! Ambayo kwawasichana 230 watahitaji magari 23kuwasafirishia, na magari 7 ya watekajinyara" [hivi upo uwezekano wa magari 30(23+7) kutembea ndani y nigeria bila yakuonekana msafara wao na mtu yeyote mpakaleo?]6. Why were the principal's daughters andfemale staffers not touched? (godwill akpabio)"kwanini watoto wa mkuu wa chuo nawafanyakazi wote wa kike hawakuguswa hatammoja" [je! Hawakuwa na umuhimu?]7. What was the principal’s reaction when thiswas going on? (godswill akpabio)8. Some girls were said to have escaped, andnot a single child was shot, we all know thathas not been the practice in the past. Wherethey freed or did they escape. (godswillakpabio)9. We were told that the state governmentgave n1m each to the parents of the girls,what was this money for? (online media)10. Almost all the things suggested in themedia are the things b/haram is now saying.(g/will akpabio)11.a news agency said that the girls have beensold for n2000 each, and a few days later, themain man appears and threatens to sell thegirls, are we the ones suggesting what heshould do? (g/will akpabio).... Any answer to prove that these girls arereallymissing?.........kuna jibu lolote la kuthibitisha kuwa nikweli hawa wanawake wamepotea(wametekwa)?
Here comes another b#ll H*t conspiracy lover.Huu upuuzi mlikuwa mkitumia kwa osama ..mkileta maelezo kibao ya kijinga mkidhani mnaokoa dini,mkidhani mnapotosha watu ili wadhani Boko haramu hawapigani kwa minajili ya dini.
 
Nimeona kwenye blog moja ya Nigeria kuwa wanajeshi wao wana kama kamgomo fulani kwani wanauwawa kama kuku...Boko Haram wana silaa zilizo more advanced kuliko wanajeshi...

Kuna incidence wameonyesha wanajeshi wanapiga risasi juu kwa hasira baada ya wenzao kuuawa na Boko Haramu....wananasema hata allowance hawapewi; yani ile nchi imelaaniwa kwa rushwa....mkuu wa majeshi pesa anatia ndani maana wanasema budget ua jeshi lao ni kuuuubwaa mno; lakini ela inaenda wapi hakuna anayejua....

Watu wamekasirika wanauliza huyu mkuu wa majeshi anataka wanajeshi wawakamamte Boko Haramu kwa mikono?????

Aibu maana Boko haram ni tofauti na magaidi wengine; hawajifichi wanavamia kwa magari na piki piki....jeshi halina silaha....corruption ni mdudu mbaya saaaana
 
Jana jumatano wajeshi wa naijeria walioko maiduguri kuwasaka boko waliasi kwa mda baada ya maiti za wanajeshi wenzao wanne kupatikana baada ya kufanyiwa ambushi na boko.
 
Jana jumatano wajeshi wa naijeria walioko maiduguri kuwasaka boko waliasi kwa mda baada ya maiti za wanajeshi wenzao wanne kupatikana baada ya kufanyiwa ambushi na boko.
Wanayo kazi..ila boko haramu lazima wawe katk nafsi nzuri kwani..Nigeria imekuwa ikiongozwa na wanajeshi wa kiislam kutoka north ktk kipindi cha udictator..km hawampendi Jonathani...halafu wana boko haramu kutoka North upande mwingine ..ni wazi huu ujinga utausikia sana.Hawa wapuuzi wanaona kuwaua wenzao si vizuri...na si kuogopa kifo,sijui kukosa hela.Kwa mwanajeshi kufa mwenzie ni kuongeza hasira ya kupigana zaidi,hela wakati unakwenda pigana what if unakufa ukiwa na hela?
 
Back
Top Bottom