Mlavumbi Orijino
Member
- Feb 12, 2012
- 6
- 2
Wakuu nina mpenzi ambaye natarajia kumuoa mwishoni mwa mwaka huu Mungu akipenda. Hata hivyo kuna vijimambo vyake sijavielewa kabisa nahisi kama nadanganywa vile (kiswahili lugha maskini sana, ninamaanisha she might be cheating on me) kwani kuna siku niliwahi kumnasa kwenye computer akisoma email ambayo subject yake ilikuwa tata aliponiona akasign out haraka sana. Pia amebadilika sana kitabia hivyo naomba mnisaide jinsi ya kuhack adress ili niweze kuingia ndani ya account yake nijionee kama kuna lolote naweza kulipata. Anatumia Linux mail na Yahoo mail. Nimeona kuna watu kama e2themiza na maexpert wengine wengi najua nisaidika. Nipo taabani kweli kweli, na nikifikiria lile gonjwa letu nakonda mwenyewe.