Nifundisheni Jinsi ya ku-Hack email Adress

Feb 12, 2012
6
2
Wakuu nina mpenzi ambaye natarajia kumuoa mwishoni mwa mwaka huu Mungu akipenda. Hata hivyo kuna vijimambo vyake sijavielewa kabisa nahisi kama nadanganywa vile (kiswahili lugha maskini sana, ninamaanisha she might be cheating on me) kwani kuna siku niliwahi kumnasa kwenye computer akisoma email ambayo subject yake ilikuwa tata aliponiona akasign out haraka sana. Pia amebadilika sana kitabia hivyo naomba mnisaide jinsi ya kuhack adress ili niweze kuingia ndani ya account yake nijionee kama kuna lolote naweza kulipata. Anatumia Linux mail na Yahoo mail. Nimeona kuna watu kama e2themiza na maexpert wengine wengi najua nisaidika. Nipo taabani kweli kweli, na nikifikiria lile gonjwa letu nakonda mwenyewe.
 
mkuu, pole sana kwa hilo! Hii njia unayotaka kutumia ya ku-hack email ad. yake sidhani kama itasaidia sana. Suppose unafanikiwa kusoma email zake, na ukagundua ana flirt; what next?
 
kwa kweli msianze kufanya vikao vya harusi au kuomba mchango!! hapo lazima kuna boom na dakika za boom kulipuka zinasonga mbele.. Ebu fanya kukaa naye chini uongee naye juu ya ilo swala la kusign-out fasta then ikiwezekana mpeane passwords zenu eachother.. unless otherwise SHTUKA!
 
Wakuu nina mpenzi ambaye natarajia kumuoa mwishoni mwa mwaka huu Mungu akipenda. Hata hivyo kuna vijimambo vyake sijavielewa kabisa nahisi kama nadanganywa vile (kiswahili lugha maskini sana, ninamaanisha she might be cheating on me) kwani kuna siku niliwahi kumnasa kwenye computer akisoma email ambayo subject yake ilikuwa tata aliponiona akasign out haraka sana. Pia amebadilika sana kitabia hivyo naomba mnisaide jinsi ya kuhack adress ili niweze kuingia ndani ya account yake nijionee kama kuna lolote naweza kulipata. Anatumia Linux mail na Yahoo mail. Nimeona kuna watu kama e2themiza na maexpert wengine wengi najua nisaidika. Nipo taabani kweli kweli, na nikifikiria lile gonjwa letu nakonda mwenyewe.


MAN THE EASY WAY NI KU INSTALL KEYLOGGER KWENYE COMPUTER YAKO, HALFU YOU DO YOUR BEST YEYE ALOGIN KWENYE PC YAKO KWA KUTUMIA EMAIL YAKE. tHATS it!!then yOU Can easly get her Password
 
There are three simple ways u can use. mosi. Kama una access na komputer yake waweza install keylogger. How to inategemea una tumia ipi. Mbili kama mko nae kwenye network moja waweza kuweka sniffer, ikawa ina listen kwenye ip address yake. Na tatu unaweza kutumia social engineering, ukatengeneza a fake yahoo page with password reset forms and button. then uka email link kwake with all the good proffesionals appology words kumuomba a reset password yake. I use these methods several times as part of my job. Ingawa i dont advise to do so kwa sababu unaweza kupatwa na yafuatayo.

1. kukuta hakuna baya lolote na dame wako akagundua then akakutema.
2. kama 1 lakini asikuteme ila akapoteza mvuto na wewe.
3. ukagundua ana cheat na usifanye lolote ukaishia kumuomba msamaha.
4. ukagundua ana cheat, mkaachana huku roho inakuuma.
5. which is not very likely ni kuendelea kama kawaida.

Ongea naye, mbane kiaina. achana na kujisumbua kuhack. kuna watu walishawafuma wenza wao wakaishia kuomba msamaha.
 
kama hataki kuwa mkweli au kupa privancy yake then mpige chini.ngumu kuishi kwenye mapenzi kama wakimbizi
 
Unataka kumhack mwanamke unayetaka kumuoa mwaka huu!!!?
Achana na hiyo kitu,kama unashindwa kumwambia akupe password ya email zake,then we should all doubt your manhood!
 
Dah mkuu unataka kuoa mke wa mtu pole sana nakuhurumia sana na hiyo ni trailer mchezo bado ukisha oa ndio utajua kama kachumbari sio mboga lakini unakulia ugali, wewe unamuona mtu kabisa kama ana mtu wake wana tumiana email amebadilika ki tabia anakuficha email zake bado tu hujajua kama huyo ana mwenyewe, mwenyewe sio wewe hao wanaitwa wake za watu ukioa ni sawa na umeoa mke wa mtu jamaa tajichukulia kiulaini kabisa
 
Kama umempenda wewe kula vitu usikae una shangaashangaa kuanza kutafuta ku-hack, kwani ukimchunguza sana kuku wa kiswahili anakula nini huwezi kumla! Dawa yake kila baada ya siku mbili omba game, piga mzigo kwa kujituma mpaka abadili mawazo amteme huyo mwingine. Kama huwa unategea au kumstahi shauri yako, huwezi jua huwenda yule jamaa mwengine huwa habeep bali anafanya kweli mpaka mawazo ya demu wako yako kwake! Ushauri tofauti na huu ni ******!
 
Giving up does't always mean you are weak. Sometimes it means that you are strong enough to let go. Mpige chini.
 
Pole sana mkuu maana hata hujamwowa lakini matatizo yameshaanza, kumbuka haya ni maisha na hupaswi kufanya mistake hapa. IF SHE IS TRUSTFUL SHE CAN DIVULGE ALL OF HER SECRETE INFORMATION TO YOU WITH NO DOUBT. Kabla hujawaza kuhack, mwambie akuruhusu usome emails zake, na hili lifanyike instantly ili asipate muda wa kuzifuta. Some of these ladies are so clever. Once again pole sana mkuu ni ktkt hatua ya kutafuta maisha bora na sio kinyume chake
 
Wakuu nina mpenzi ambaye natarajia kumuoa mwishoni mwa mwaka huu Mungu akipenda. Hata hivyo kuna vijimambo vyake sijavielewa kabisa nahisi kama nadanganywa vile (kiswahili lugha maskini sana, ninamaanisha she might be cheating on me) kwani kuna siku niliwahi kumnasa kwenye computer akisoma email ambayo subject yake ilikuwa tata aliponiona akasign out haraka sana. Pia amebadilika sana kitabia hivyo naomba mnisaide jinsi ya kuhack adress ili niweze kuingia ndani ya account yake nijionee kama kuna lolote naweza kulipata. Anatumia Linux mail na Yahoo mail. Nimeona kuna watu kama e2themiza na maexpert wengine wengi najua nisaidika. Nipo taabani kweli kweli, na nikifikiria lile gonjwa letu nakonda mwenyewe.

basi tena ndo imeshapita hiyo ilibidi umbane pale pale.....tunavyoongea hapa si ajabu kasha delete e-mail za jamaa zote na amemwambia huyo jamaa asimcheck tena kwa mail hiyo. Huku akisikilizia kama wewe utamuuliza about tha issue. So its no point....umeshindwa kumbana pale pale....ndo imetoka hio !!!
 
There are three simple ways u can use. mosi. Kama una access na komputer yake waweza install keylogger. How to inategemea una tumia ipi. Mbili kama mko nae kwenye network moja waweza kuweka sniffer, ikawa ina listen kwenye ip address yake. Na tatu unaweza kutumia social engineering, ukatengeneza a fake yahoo page with password reset forms and button. then uka email link kwake with all the good proffesionals appology words kumuomba a reset password yake. I use these methods several times as part of my job. Ingawa i dont advise to do so kwa sababu unaweza kupatwa na yafuatayo.

1. kukuta hakuna baya lolote na dame wako akagundua then akakutema.
2. kama 1 lakini asikuteme ila akapoteza mvuto na wewe.
3. ukagundua ana cheat na usifanye lolote ukaishia kumuomba msamaha.
4. ukagundua ana cheat, mkaachana huku roho inakuuma.
5. which is not very likely ni kuendelea kama kawaida.

Ongea naye, mbane kiaina. achana na kujisumbua kuhack. kuna watu walishawafuma wenza wao wakaishia kuomba msamaha.
Nakubaliana nawe kuwa kama ameshindwa kumbana ni heri aamue kuachana nae.
Katika baadhi ya makabila wanawake wanafundishwa kuwa hata akikutwa live anazini asikubali moja kwa moja n a atumie ujanja kama "ndio alikuwa anaanza tu","wala hakuwahi kuing_" na mengine mengi lakini ni mwiko kumueleza mwanamume kila kitu hata ukiwekewa kisu.Mantiki yake ni kuwa kwanza wanaume hawasamehe kama wanawake na ukieleza yote haitasaidia na pili ni afadhali mtu ahisi na kutokuwa na majibu ya asilimia mia.
Hivyo ukipata habari zake zote na wakati mwingine akiwa ameandika kwa kujimwaga utaumia mno kwa maisha yako yote.
Kuna bwana lamtumia mtu wa kampuni ya simu na message za mkewe zikawa zinaingia kwake.Wameishia kutengana na bwana ana machungu mpaka leo kwani palikuwa na message kwenda kwa hawara ambaye bwana anamfahamu na mojawapo ilikuwa hivi "siku ile uliniwahi lakini this time nitakurusha roho kiasi ambacho hujawahi _"
 
Mbona mmegeuza humu kama MMU. maushauri meeengi!!!kah! wanaojua ku-Hack wampe maujuzi ....... akijinyonga shauri yake.
MP.
 
Back
Top Bottom