nifumbueni tafadhali.

that's 100% the chick is in love with you!
 
Kwani wewe huwezi tafuta mwingine? kwa nini u shee manamke na mtu mwingine? kweli unakubali kabisa kuwa someone's second choice? "you are either with me or not" .....
 
Kwani wewe huwezi tafuta mwingine? kwa nini u shee manamke na mtu mwingine? kweli unakubali kabisa kuwa someone's second choice? "you are either with me or not" .....

sijamuunga mkono kabisa katika hlo,ndio maana nipo hapa kuomba msaada na ushaur wako.
 
anataka kukufanya kidumu au pipa? au anakupima uwezo kama umemtaman o umempenda
 
sijamuunga mkono kabisa katika hlo,ndio maana nipo hapa kuomba msaada na ushaur wako.
Wengi wanasema sikiliza moyo wako, mi nasema tumia akili yako, usikubali kufanywa chaguo la pili.Kwani si unajiamini bwana! Utajisikiaje akikuambia ''leo niko na bf namba 1?''
 
Mnashauriana ujinga tu!

haya ni mapenzi,na kama hujapitia hili kuna muda utafika nawe utapitia,jf ni mahali pa kukusanya mawazo tofaut tofaut ya watu ili siku 1 uchanganye na yako then utatue tatizo,kila mtu ana mawazo yake,sina budi kuyakubl na kuyaheshmu.
 
you do no hw to deal with women, so you are waiting akuchukulie hotel? Sioni njia panda, me naona umemweka huyo dada ktk junction, sasa anataka kuingia kwenye road yako....
 
Hivi una umri gani mkuu na mapenzi umeanza lini?
Haufanywi back-up ila ndio umekuwa promoted hivyo

so ina maana telling me kwamba anaweza kunipa chance ya 2nd boyfrnd ameshakubli na mimi natakiwa nikubli kuwa hvyo?
 
Now thats what we call "Beauty with Brains"Unanikoshaga sana we mtoto basi tu
 
mmh watch out meeen coz u gona be stuck there bt kama ana swow lv take her, when happynes comes to you it never says hllw so you choose to accept it or reject
 
Alidhani akikukubalia mapema ungemwona kiruka njia. Mbona kawaida sana hzo mkuu? Over 75% of them ndio jibu lao then wanafanya editing baada ya muda.
 
kaka unalala weweeeee, ngoma tayari imeshajiunga yatosha. unasubiri nini du. mimi kuna mpangaji mwenzangu nasubiri aniulizege hvyo maana namtamani mbaya ana bonge la dusherere orijino.
 
Hivi matokeo yako ya darsa la nne kuingia la tano umeshayapata mkuuu?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…