Nifanyeje?

Nifanyeje?

Mchafukoga

Member
Joined
May 25, 2013
Posts
38
Reaction score
3
Habari za leo waungwa. Siku za nyuma niliomba ushauri hapa kuhusu uhusiano na mpenzi wangu, mawazo yenu nimeyafanyia kazi ila kinachonishangaza bado ninapatwa na maumivu ya kichwa ninapofikiri kumtema moja kwa moja.

Nifanyeje?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Habarin za jumapili waungwana. Natumain wote ni wazima wa afya. Naomba nishauriwe kuhusu hili. Ninampenzi wangu ninampenda sana na yeye ananipenda, imefikia hatua ya kunitaka nipeleke barua kwao ya posa.

Kuna mambo ananifanyia nikimpgia sim, mara nipo na mama, nipo church, nitakupigia baadae kidogo, nmelala na shangazi. Hivi kweli nikimuoa atanifaa huyu?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Nenda kaoge kwanza maumivu ya kichwa yataisha
 
Ninatarajia nitapata washauri wema na werevu wasio na chembe ya mizaha na masihara. Kama mtu hauna cha kushauri pita tu


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
tatizo nini mwenzetu embu sema post ya kwanza sikuiona
 
Mdediketie ule wa Kingwendu (kingwe kingwendulile chakula cha mwanga usile) unaitwa Mapepe ... ataelewa....

Ikishindikana.. unamuacha afu unakunywa dawa za usingizi.. ukoja kuamka ushamsahau.
 
Dawa ya moto ni moto do the same to her utaona anaumia kiasi gani asipochange mpitishe hivi
 
Kwa hali ilivyo sasa wewe ni mwamuzi wa mwisho hakuna atakaekushauri ukamuelewa sana sana uataona unataka gombanishwa uachane na mpenzi wako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom