samahan kwa makwazo ujue wabongo hatjui vyote,kisw 50 na kingereza 50 nksema niandke lugha moja naweza andka vpande(broken)Yaani wewe dada mbona uandishi mbovu
namna hii
.Ndio nini hiki kuelewa mpaka usome kwa umakini sana
Kama unataka kuandika kingereza andika tukuelewe
na kama unataka kuandika kiswahili hebu tuandikie kiswahili Fasaha ili tukuelewe
Nitarudi baadae .
asante sana.Pole sana but usijali cause maisha bado yanaendelea, umesema una mtoto wa miaka mi3 na the good thing una kazi yako sioni sababu ya wewe kuendelea na huyo mwanaume maana atazidi kukuumiza..endelea na maisha yako am sure you can stand alone..
Ana mme(ndoa ya kimila) na wana watoto watatu pamoja. Mwanzoni walipanga kwenda kubariki hiyo ndoa yao kanisani ila baadae mwanaume akawa hataki. Kuja kushtukia dada anasikia kwamba mwanaume ana mtoto mwingine mkubwa alozaa kabla ya ndoa yao na bado ana mahusiano na mama mtoto. Akaendelea na maisha mpaka siku moja alipopigiwa simu na kuporomoshewa matusi na huyo mama huku akidai ana mtoto mwingine wa miezi sita. Mume kuulizwa akakataa ila mwisho akakubali.
Dada akataka ndoa ivunjwe ila wakaishia kubaki pamoja, sasa ndo anafikiria kuanza upya maana hataki kufa kwa stress zihusianazo na mapenzi.
Mpe ushauri mwenzio sasa.
...hakuoi ng'oo...
Chek unavyoandika...waonyesha una problems....
Umeishia darasa la ngapi we mleta mada,maana huo mwandiko mie cjaelewa chochote hapo?
Asanten wapendwa kwa mawazo yenu,kwanza imenpa moyo kwamba maamuz yangu yatakuwa ya haki,pili ile hofu ya kuwa ni mdhambi kwa mwanamke mwenzangu imetoka mana ni dhahr mdhambi ni huyu baba..zaidi ctaraj kuolewa tena mana km mtoto ninae tayar na zaid i now regard all men equal the difference is on their names(naomba nsmkwaze mwanamme yeyote jamvin kwa statement hii) inaniumiza sana hii k2. Again,much of thanx to u all for ur heartfelt idea.