Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 37,876
- 87,619
Kwa hii comment yako, naomba niseme wazi kwamba wewe sio kaka mzuri kwa malezi. Na yawezekana wewe ndie umeshindwa kuwasimamia wadogo zako kutokana na malezi mabovu walio yapata kabla ya kuishi kwako.Wife akiwepo hua anapika lakini cha ajabu wakati wife yupo jikoni anapika, wao wanakua sebleni wanaangalia TV. Sasa wife hawezi kuwalazimisha maana unajua tena mambo ya ndugu hawakawii kuanza kusema wananyanyaswa. Wangekua interested kujua kupika wangeenda kuangalia anavyopika ili wajifunze lakini wao waala.