Nifanyeje na mimi nipende kama wengine?

Nifanyeje na mimi nipende kama wengine?

KUNGURUHAFUGIKI

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2013
Posts
346
Reaction score
74
Habarini wakuu,

Natumaini mtakuwa salama mimi nina mpenzi wangu tuna miezi sita sasa, ila mwenzangu unilalamikia sana kwamba sina upendo nae , najitahidi kuonyesha upendo kwake lakini nashindwa.

Mambo mengi ya muhimu ananishauri lakini sijali naisi moyo wangu hauna upendo kabisa nifanyaje nipende kama wanaume wengine naisi kama namtesa sana.

Wengine mnafanyaje wakuu
 
Kwanini moyo wako hauna upendo....??

Ndio ilivyokua kwenye mahusiano kabla ya huyoo
 
Fanya kama unamuacha hivi kwa wiki au mwezi utajua how mch you need her kama hauto ona wala kujisikia chochote we kweli humpendi huyo mwenzako" lkn usimwambie kama unafanya hivo.. ni ushauri wng tu vile vile unaweza ukaupotezea mana unaweza uka kucost pia.
 
Mpe Pesa, kisha muongezee nyingine...
 
habarini wakuu, natumaini mtakuwa salama Mimi Nina mpenzi Wang tuna miezi sita sasa ila mwenzangu unilalamikia sana kwamba sina upendo nae , najitahidi kuonyesha upendo kwake lakini nashindwa, mambo mengi ya Muhimu ananishauri lakini sijali naisi moyo Wang hauna upendo kabisa nifanyaje nipende kama wanaume wengine naisi kama namtesa sana , wengine mnafanyaje wakuu.


Vijana wa siku hizi bana? mwambie achape lapa...
 
Tumia ulimi wako kumsafisha mkubwa na ile ndogo yake hapo utakua umeonyesha mapenzi yoote kama vijana wenzako Mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom