holy spirit
JF-Expert Member
- Nov 30, 2020
- 729
- 1,106
Heshima kama zote kwenu wana JF.
Umri wangu sio mkubwa sana ila ngazi ya tatu naanza kuipanda soon.
Kwenye miaka yangu ya 20s nimekuwa mtu wa kubadilisha wadada sijawahi kuwa na mahusiano yaliyokaa zaidi ya miezi miwili maana nilikuwa mzinguaji sana hasa nikishapewa tunda akili inanituma nihamie kwa mdada mwingine.
Kwa sasa nimejitafakari mwenyewe nikaona ni vyema nianzishe mahusiano ya kueleweka na mtu mmoja ikiwezekana yapelekee ndoa.
Mdada nilienzisha nae mahusiano kiukweli anaonyesha kunipenda sana, tunaelewana na mimi pia nampenda.
Tatizo ana mtoto mmoja, baba mtoto alimkana mtoto akamwambia mdada na familia yake wafate mambo yao waache kumfatilia ye hamtambui huyo mtoto.
Pia ni wa kabila fulani la kaskazini huwa wanasemwa eti wagawaji sana.
Mimi sio mtu wa kusikiliza maneno ya watu sana ila haya ninayoambiwa na watu wa karibu kisa kuwa na mahusiano na huyu dada yananipa hofu na wasiwasi, yani akili na roho havijatulia kabisa kwasababu mdada sitaki kumuacha wala nini mwamba nimefall in love.
Mfano wa maneno ninayoambiwa
"Hapo baba mtoto atakuja kuomba tu msamaha atasamehewa ataendelea kupewa mzigo kama kawaida"
"Huyo hakupendi anatafuta sehemu ya kujishikiza na wewe ndo umedakwa kirahisi" ( huyu tena ni mwanamke na hapa ndo niliogopa zaidi).
"Hilo kabila la huko mhhh.. haya ni wewe lakini na maamuzi yako"
" Ila huwezi kujua wapo waliooa wenye watoto na wengine hilo hilo kabila ila wapo kwenye ndoa zao na mambo yanaenda" (bro mmoja alinitia moyo kidogo).
Wakuu niko kwenye dilemma sio siri anxiety inaniingia. Nifanyeje ili kutuliza akili an roho kumuacha huyu dada isiwe option kwanza tafadhali.
Umri wangu sio mkubwa sana ila ngazi ya tatu naanza kuipanda soon.
Kwenye miaka yangu ya 20s nimekuwa mtu wa kubadilisha wadada sijawahi kuwa na mahusiano yaliyokaa zaidi ya miezi miwili maana nilikuwa mzinguaji sana hasa nikishapewa tunda akili inanituma nihamie kwa mdada mwingine.
Kwa sasa nimejitafakari mwenyewe nikaona ni vyema nianzishe mahusiano ya kueleweka na mtu mmoja ikiwezekana yapelekee ndoa.
Mdada nilienzisha nae mahusiano kiukweli anaonyesha kunipenda sana, tunaelewana na mimi pia nampenda.
Tatizo ana mtoto mmoja, baba mtoto alimkana mtoto akamwambia mdada na familia yake wafate mambo yao waache kumfatilia ye hamtambui huyo mtoto.
Pia ni wa kabila fulani la kaskazini huwa wanasemwa eti wagawaji sana.
Mimi sio mtu wa kusikiliza maneno ya watu sana ila haya ninayoambiwa na watu wa karibu kisa kuwa na mahusiano na huyu dada yananipa hofu na wasiwasi, yani akili na roho havijatulia kabisa kwasababu mdada sitaki kumuacha wala nini mwamba nimefall in love.
Mfano wa maneno ninayoambiwa
"Hapo baba mtoto atakuja kuomba tu msamaha atasamehewa ataendelea kupewa mzigo kama kawaida"
"Huyo hakupendi anatafuta sehemu ya kujishikiza na wewe ndo umedakwa kirahisi" ( huyu tena ni mwanamke na hapa ndo niliogopa zaidi).
"Hilo kabila la huko mhhh.. haya ni wewe lakini na maamuzi yako"
" Ila huwezi kujua wapo waliooa wenye watoto na wengine hilo hilo kabila ila wapo kwenye ndoa zao na mambo yanaenda" (bro mmoja alinitia moyo kidogo).
Wakuu niko kwenye dilemma sio siri anxiety inaniingia. Nifanyeje ili kutuliza akili an roho kumuacha huyu dada isiwe option kwanza tafadhali.