nifanye nn

Joined
Dec 17, 2012
Posts
9
Reaction score
0
Jamani naomba maoni kwa jambo hili linalontatiza.....best friend wangu ambae ni rafiki wa gf wangu ametokea kunpenda zaid ya upendo 2liokua nao wa kirafiki...mimi sitaki kumuumiza gal wangu na yeye pia...nifanye nn kumsaidia?
 
Hutaki kumuumiza sasa unataka kufanya nini? Si usimuumize!
 
Niunganishe naye huyo anayekusumbua ili nimpe ushauri mzuri!
 
Sidhani kama hutaki kumuumiza rafiki yako wa kike maana maandishi yako yana onesha umesha panga kumuuzi!
 
hahhaa wewe kijana kumbe hujui wanawake...huyo atakauwa alishaambiwa na gf wako kuwa una gegeda vizuri mpaka unamkojolesha....sasa huyo anataka pata hiyo dozi yako. sasa chakufanya ni kumpa anachotaka....mgegede bidada afurahi
 
Jamani naomba maoni
kwa jambo hili linalontatiza.....best friend wangu ambae ni rafiki wa gf
wangu ametokea kunpenda zaid ya upendo 2liokua nao wa kirafiki...mimi
sitaki kumuumiza gal wangu na yeye pia...nifanye nn kumsaidia?

Mbona barida tu,tena huyo gf wako akijua ndo atazidisha urafiki na huyo best friend wake na hivyo kupanua wigo wa urafiki wenu kiujumla,mgegede tu
 
hahhaa wewe kijana kumbe hujui wanawake...huyo atakauwa alishaambiwa na gf wako kuwa una gegeda vizuri mpaka unamkojolesha....sasa huyo anataka pata hiyo dozi yako. sasa chakufanya ni kumpa anachotaka....mgegede bidada afurahi

We mzabzab acha kuzeesha watoto bana kaaaah!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
hahhaa wewe kijana kumbe hujui wanawake...huyo atakauwa alishaambiwa na gf wako kuwa una gegeda vizuri mpaka unamkojolesha....sasa huyo anataka pata hiyo dozi yako. sasa chakufanya ni kumpa anachotaka....mgegede bidada afurahi

hahahahahaha kaka ushauri wako huo! huoni utanletea msala
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…