Nifanye nini?

Nifanye nini?

fuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2016
Posts
214
Reaction score
408
Habari za kwenu wakuu

Mwenzenu nina shida hii,ushauri wenu utafaa sana

Kiufupi ni kuwa

Miaka mingi kidogo nikiwa masomoni huko Dar es Salaam nilibahatika kumpata binti mmoja ambaye baada ya muda tulikuwa wapenzi-tulipendana

Nilimzidi mwaka mmoja kimasomo as in kipindi namaliza masomo,nilimuacha akiwa anamalizia mwaka wake wa tatu

Katika mapenzi yetu tulibahatika kumpata mwanetu-tunampenda,nampenda mwanangu

Nilipata bahati ya kupata ajira kwa nyakati tofauti katika mikoa tofauti hapa nchini,kuna muda tuliishi sote baada ya yeye kumaliza shule,

Unfortunately

Kazi hazikwenda salama sana kutokana na changamoto za hapa na pale katika majukumu hali ambayo ilisababisha yeye kurudi nyumbani kwao kipindi naangalia namna gani tena ya kulitafuta tobo langu kwa mara nyingine

Ilitakiwa kuna kipindi flani nikaofficalize mambo nyumbani kwao,as in kujitambulisha and what not...ila sikuweza kufanya hivo kutokana na sababu nyingi ambazo sikuwa na cha kufanya juu yake- nilifail katika hili

Katika maisha yetu tukiwa pamoja-nikiri kwamba yaliwahi kutokea maswahibu ambayo nilikuwa chanzo chake- kama binadamu nilikosea na nakiri nilikosea na kwa kuyatambua makosa yangu nilikuwa mtu na kuomba radhi sana-si mara moja wala mbili

Ni kwa muda sasa tangu arudi kwao tumekuwa tukishirikiana kumlea mwanetu japo nikiri tena mawasiliano yetu kama wapenzi hayakuwa mazuri kiasi hiko

Tumepitia mengi sana mie na mwenzangu,nikiri tena nilimpenda sana mwenzangu-sana tu,na alinipenda pia-sana,tulipendana...tulifanya mengi na tumepitia mengi-sana tukiwa pamoja

Ila

Majuzi nimepokea ujumbe wake akinieleza ya kwamba hayuko tayari tena kuendelea na tulichokuwa tukikifanya mwanzo,na kwamba kwa kipindi chote hiki ambacho hatukuwa sawa-alishamove on na haoni tena haja ya sisi kuendelea kuwa pamoja.

Mwenzenu nipo kwenye dilemma...sijui nini cha kufanya mpaka niandikapo haya

Nifanye nini,naombeni ushauri wenu...this thing is killing me,sana

Nawasilisha

Shukrani
 
Habari za kwenu wakuu

Mwenzenu nina shida hii,ushauri wenu utafaa sana

Kiufupi ni kuwa

Miaka mingi kidogo nikiwa masomoni huko Dar es Salaam nilibahatika kumpata binti mmoja ambaye baada ya muda tulikuwa wapenzi-tulipendana

Nilimzidi mwaka mmoja kimasomo as in kipindi namaliza masomo,nilimuacha akiwa anamalizia mwaka wake wa tatu

Katika mapenzi yetu tulibahatika kumpata mwanetu-tunampenda,nampenda mwanangu

Nilipata bahati ya kupata ajira kwa nyakati tofauti katika mikoa tofauti hapa nchini,kuna muda tuliishi sote baada ya yeye kumaliza shule,

Unfortunately

Kazi hazikwenda salama sana kutokana na changamoto za hapa na pale katika majukumu hali ambayo ilisababisha yeye kurudi nyumbani kwao kipindi naangalia namna gani tena ya kulitafuta tobo langu kwa mara nyingine

Ilitakiwa kuna kipindi flani nikaofficalize mambo nyumbani kwao,as in kujitambulisha and what not...ila sikuweza kufanya hivo kutokana na sababu nyingi ambazo sikuwa na cha kufanya juu yake- nilifail katika hili

Katika maisha yetu tukiwa pamoja-nikiri kwamba yaliwahi kutokea maswahibu ambayo nilikuwa chanzo chake- kama binadamu nilikosea na nakiri nilikosea na kwa kuyatambua makosa yangu nilikuwa mtu na kuomba radhi sana-si mara moja wala mbili

Ni kwa muda sasa tangu arudi kwao tumekuwa tukishirikiana kumlea mwanetu japo nikiri tena mawasiliano yetu kama wapenzi hayakuwa mazuri kiasi hiko

Tumepitia mengi sana mie na mwenzangu,nikiri tena nilimpenda sana mwenzangu-sana tu,na alinipenda pia-sana,tulipendana...tulifanya mengi na tumepitia mengi-sana tukiwa pamoja

Ila

Majuzi nimepokea ujumbe wake akinieleza ya kwamba hayuko tayari tena kuendelea na tulichokuwa tukikifanya mwanzo,na kwamba kwa kipindi chote hiki ambacho hatukuwa sawa-alishamove on na haoni tena haja ya sisi kuendelea kuwa pamoja.

Mwenzenu nipo kwenye dilemma...sijui nini cha kufanya mpaka niandikapo haya

Nifanye nini,naombeni ushauri wenu...this thing is killing me,sana

Nawasilisha

Shukrani
Sasa umemzalisha,na miaka yote hiyo hata kwao hawakujui....haoni future kwako ndio maana ameamua kupita hiviiii....pia umekosea jukwaaa,hii ishu inatakiwa iwe jukwaa la MMU.kila la kheri.
 
Tafta namna ya kuendelea kulea mwanao na tena ushukuru amekua wazi sababu angeanza kukuonesha picha picha ungekua ushazikwa hata thread usingewaza kupost
 
Acha aendelee na maisha yake.
Unaonekana kumjali baada ya kuona ameondoka. Endelea kukaza kama ulivyokuwa unafanya. Muache aitafute furaha kwingine.
 
Kifupi bi dada kaamua kujiongeza tu maana kaona huna future nae, kwao hujulikani, huduma hakuna bado matukio umempiga, kwa nini aendelee na wewe? Inaonekana ulivopata kazi tu ukaanza udwanzi

Mwache aende
Au
Anza kumaanisha kwa kwenda kujitambulisha na kuhalalisha ili aone hajapoteza muda
 
Habari za kwenu wakuu

Mwenzenu nina shida hii,ushauri wenu utafaa sana

Kiufupi ni kuwa

Miaka mingi kidogo nikiwa masomoni huko Dar es Salaam nilibahatika kumpata binti mmoja ambaye baada ya muda tulikuwa wapenzi-tulipendana

Nilimzidi mwaka mmoja kimasomo as in kipindi namaliza masomo,nilimuacha akiwa anamalizia mwaka wake wa tatu

Katika mapenzi yetu tulibahatika kumpata mwanetu-tunampenda,nampenda mwanangu

Nilipata bahati ya kupata ajira kwa nyakati tofauti katika mikoa tofauti hapa nchini,kuna muda tuliishi sote baada ya yeye kumaliza shule,

Unfortunately

Kazi hazikwenda salama sana kutokana na changamoto za hapa na pale katika majukumu hali ambayo ilisababisha yeye kurudi nyumbani kwao kipindi naangalia namna gani tena ya kulitafuta tobo langu kwa mara nyingine

Ilitakiwa kuna kipindi flani nikaofficalize mambo nyumbani kwao,as in kujitambulisha and what not...ila sikuweza kufanya hivo kutokana na sababu nyingi ambazo sikuwa na cha kufanya juu yake- nilifail katika hili

Katika maisha yetu tukiwa pamoja-nikiri kwamba yaliwahi kutokea maswahibu ambayo nilikuwa chanzo chake- kama binadamu nilikosea na nakiri nilikosea na kwa kuyatambua makosa yangu nilikuwa mtu na kuomba radhi sana-si mara moja wala mbili

Ni kwa muda sasa tangu arudi kwao tumekuwa tukishirikiana kumlea mwanetu japo nikiri tena mawasiliano yetu kama wapenzi hayakuwa mazuri kiasi hiko

Tumepitia mengi sana mie na mwenzangu,nikiri tena nilimpenda sana mwenzangu-sana tu,na alinipenda pia-sana,tulipendana...tulifanya mengi na tumepitia mengi-sana tukiwa pamoja

Ila

Majuzi nimepokea ujumbe wake akinieleza ya kwamba hayuko tayari tena kuendelea na tulichokuwa tukikifanya mwanzo,na kwamba kwa kipindi chote hiki ambacho hatukuwa sawa-alishamove on na haoni tena haja ya sisi kuendelea kuwa pamoja.

Mwenzenu nipo kwenye dilemma...sijui nini cha kufanya mpaka niandikapo haya

Nifanye nini,naombeni ushauri wenu...this thing is killing me,sana

Nawasilisha

Shukrani
Kamchukue mtoto uoe mke mwingine maisha yasonge mbele
 
Nami nina ndoto nikifika chuo ndio napata mke sijui wa kitaa wakoje maana wamekaa kimasilahi masilahi hivi
 
Aisee mi moyo wa kumpenda mwanamke ushakufaga kabisa aisee yaani Mungu anisamehe na anisaidie

She killed me , she destroyed my life

But nliamka tena nkafuta vumbi !

Maisha yakasonga
 
Sasa mtu ameshakwambia yeye amemuvu oni. Na wewe unasubiri nini kumuvu woni. We jamaa utakuwa kijana wa CCM maana akili zako sio za kawaida.
 
Back
Top Bottom