Innocent Kirumbuyo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,646
- 4,489
Mm mkristo sijaona popote ilipo katazwa kwenye bibliaMrudie mungu. Nadhani dini zote zakataza kamari
Mkuu yani nisipo lala na mkeka ata usingizi sipati nitaangaika sana nakuta nawakopa paka voda m pawa niweke mkeka nikiweka nitajipamatumaini kibao kesho napesa yakutosha[emoji23]Mkuu umenichekesha japokua hili sio swala la kucheka.
Nna rafiki yangu nae ana addiction hyo hyo.
Usipende kutembelea au kukaa kwenye ofisi za betting..na kama utakua unabet jaribu kutunza mikeka uone hasara unazoingia labda unaweza skia uchungu ukaacha.
Jitahidi kuji control upunguze tamaa, kuacha addiction sio kazi rahisi na marafiki wanaobet pia jaribu kuwapunguza.Mkuu yani nisipo lala na mkeka ata usingizi sipati nitaangaika sana nakuta nawakopa paka voda m pawa niweke mkeka nikiweka nitajipamatumaini kibao kesho napesa yakutosha
Basi kazana, Bwana ataleta farajaMm mkristo sijaona popote ilipo katazwa kwenye biblia
Nilijitaidi kwa wiki moja sikubet kabisa nikawaambia watu nimeacha kila mtu alishangaa anaye nijua ila wiki sina furaha kabisa nikaenda siku moja nikaweka mkeka nikala laki 2 nilijiona kama nimekosa pesa nyingi sana nilivyo achaJitahidi kuji control upunguze tamaa, kuacha addiction sio kazi rahisi na marafiki wanaobet pia jaribu kuwapunguza.
Alafu jaribu kujiweka busy na kazi.
AmenBasi kazana, Bwana ataleta faraja
Nimekuzarau sana utaacha kubet utaishije mkuuJamani nifanye nn ili niweze kuacha kubet kwasababu mm imekuwa ni zaidi ya madawa ya makonda
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Tafuta karatasi nyeupe na kalamu, kisha uandike kwanini unataka kuacha kubeti,
Nimesoma maneno yako mara tatu ila sijaelewa unaweza kuniambia unamanisha nn hapoNimekuzarau sana utaacha kubet utaishije mkuu
Hujampasua mzungu, umewapasua waokota makopo wenzako walioweka vi mi5 mi5 vyaoWiki iliyopita nilimpasua Mzungu wa Princess milioni 4
Mm kazi ninayo tatizo nikiwa kazini bet mbele yangu alafu nimejenga.marafiki wengi wa kubet wakila wanakuja niambia nimekula milion roho itaniuma kwann sijabetiUsikae karibu na Beting au tafuta kazi ambayo inakufanya kuwa busy sana chief me pia nilikuwa na bet sana lakini nimeacha