Nifanye nini ili niache kubet?

Innocent Kirumbuyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2014
Posts
4,646
Reaction score
4,489
Jamani nifanye nn ili niweze kuacha kubet kwasababu mm imekuwa ni zaidi ya madawa
ya Makonda.
Yaani nisipo lala na mkeka ata usingizi sipati nitaangaika sana nakuta nawakopa paka voda m pawa niweke mkeka nikiweka nitajipamatumaini kibao kesho napesa yakutosha

Nilijitaidi kwa wiki moja sikubet kabisa nikawaambia watu nimeacha kila mtu alishangaa anaye nijua ila wiki sina furaha kabisa nikaenda siku moja nikaweka mkeka nikala laki 2 nilijiona kama nimekosa pesa nyingi sana nilivyo acha

Nimejenga marafiki wengi wa kubet wakila wanakuja niambia nimekula milion roho itaniuma kwa nini sijabeti
 
[emoji23]Mkuu umenichekesha japokua hili sio swala la kucheka.
Nna rafiki yangu nae ana addiction hyo hyo.

Usipende kutembelea au kukaa kwenye ofisi za betting..na kama utakua unabet jaribu kutunza mikeka uone hasara unazoingia labda unaweza skia uchungu ukaacha.
 
Mkuu yani nisipo lala na mkeka ata usingizi sipati nitaangaika sana nakuta nawakopa paka voda m pawa niweke mkeka nikiweka nitajipamatumaini kibao kesho napesa yakutosha
 
Mkuu yani nisipo lala na mkeka ata usingizi sipati nitaangaika sana nakuta nawakopa paka voda m pawa niweke mkeka nikiweka nitajipamatumaini kibao kesho napesa yakutosha
Jitahidi kuji control upunguze tamaa, kuacha addiction sio kazi rahisi na marafiki wanaobet pia jaribu kuwapunguza.

Alafu jaribu kujiweka busy na kazi.
 
Jitahidi kuji control upunguze tamaa, kuacha addiction sio kazi rahisi na marafiki wanaobet pia jaribu kuwapunguza.

Alafu jaribu kujiweka busy na kazi.
Nilijitaidi kwa wiki moja sikubet kabisa nikawaambia watu nimeacha kila mtu alishangaa anaye nijua ila wiki sina furaha kabisa nikaenda siku moja nikaweka mkeka nikala laki 2 nilijiona kama nimekosa pesa nyingi sana nilivyo acha
 
Usikae karibu na Beting au tafuta kazi ambayo inakufanya kuwa busy sana chief me pia nilikuwa na bet sana lakini nimeacha
 
Usikae karibu na Beting au tafuta kazi ambayo inakufanya kuwa busy sana chief me pia nilikuwa na bet sana lakini nimeacha
Mm kazi ninayo tatizo nikiwa kazini bet mbele yangu alafu nimejenga.marafiki wengi wa kubet wakila wanakuja niambia nimekula milion roho itaniuma kwann sijabeti
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…