mjomba2011
Member
- Nov 16, 2011
- 24
- 7
Nimeishi na mwanamke zaidi ya miaka 10, sijafanikiwa kupata nae mtoto,Amekuwa mkali,mkorofi,anaweza kuamka asubuhi kanuna hata bila sababu, Imefikia mahali kwa maneno yake anataka kuhalalisha kuwa mimi ndio mwenye matatizo ya uzazi.
Nimekwenda Hospitali,nimepima nipo vizuri.yeye ukimwambia aende hospitali Ugomviiiiii. Katika pita pita zangu nimekutana na dada mmoja kanizalia mtoto,nashindwa jinsi ya kumueleza MKE maana mtoto amepatikana nje,nikiwa tayari kwenye ndoa. Na kilichosababisha niamue kuwa na mtoto nje ya ndoa ni baada ya kutoa mimba zaidi ya 3 kwa huyu bi mdogo(Mungu Nisamehe Katika Hili).
NIPO KWENYE NJIA PANDA
Nimekwenda Hospitali,nimepima nipo vizuri.yeye ukimwambia aende hospitali Ugomviiiiii. Katika pita pita zangu nimekutana na dada mmoja kanizalia mtoto,nashindwa jinsi ya kumueleza MKE maana mtoto amepatikana nje,nikiwa tayari kwenye ndoa. Na kilichosababisha niamue kuwa na mtoto nje ya ndoa ni baada ya kutoa mimba zaidi ya 3 kwa huyu bi mdogo(Mungu Nisamehe Katika Hili).
NIPO KWENYE NJIA PANDA
- Mke wa Ndoa ananiona kama mim naweza nikawa na matatizo ya uzazi,
- Nina mtoto nje ya ndoa tayari ana miaka 2 na mwingine anaweza kufuatia baada ya musa si mrefu.
- Dharau,Kiburi anachoendelea kunionyeshea kinanifanya niongeze mtoto mwingine nje ya ndoa,
- Nimejaribu kumrekebisha harekebishiki
- WANA JF naombeni mawazo yenu nifanye nin??????