Nifanyaje nije kuwa mkuu wa kituo nitakacho pangiwa

Uwezekano wa kupata cheo upo ndan ya muda mfupi km utapangiwa shule za vijijin....ambavyo viko mbali na miji au senta kubwa...ushaur baada ya kupata kituo omba mwenyewe wakupeleke kijiji kilichombali zaid ktk huo mkoa..hapo unaweza kupata kwasababu ya uchache wa walim waliopo maeneo ya vijiji vya mbali..kingine usiwe na haraka ya kupata cheo huwa kinakuja chenyewe kwa kufanya kazi kwa bidii..zaidi kuna maeneo hapa nchin watu wakipangiwa hawapendi kwenda ww ndo nenda...utapa idara ya chakula muda mfupi sana
 
Ndio uchawi unapoanzia hapo. Yaani hujapata ajira unawaza ubosi. Duh

Cc The Boss


Zamani ilikua wachawi ni watu wasioenda shule
siku hizi wachawi hadi phd wanatafuta
unajuliza kama na wewe unahangaika like the rest kusoma na kufanya kazi
sasa huo uchawi wa kazi gani?
 
Nnashauri, ukifika ktk kituo ulichopangiwa, angalia fursa binafsi unazoweza kufanya, appointed works katika shule zinamagumashi Sana, zaidi ukiwa Kama mwalimu una utajiri mkubwa Sana wa muda, tumia muda wako vizuri kujinufaisha kimaisha.
usitegemee appointed work pliz.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom