UNEMPLOYYED
Senior Member
- Jan 29, 2017
- 116
- 47
- Thread starter
- #21
ASANTE MPENDWANenda Mwenge Catholic University kwan kiko poa sana
ASANTE MPENDWANenda Mwenge Catholic University kwan kiko poa sana
SJUISaut mwanza washatoa second round?
asante,,,,,hakuna alizaliwa anajua wote tunajifunza,,ntakomaaaKama unataka kuja saut mwanza hakikisha unajitoa education hapa ni ngumu hasa linguistic ila karibu sana
Ni MWECAU si MWECA[/QUOTtypping error
Mki disco chuo mnaanza lalamika akili zausiku izi n matatizoNenda Sauti kwenye mademu wengi, MWECA midume mingi mtagombania chupi!
HahahahahahahahahMki disco chuo mnaanza lalamika akili zausiku izi n matatizo
Spendagi izo chupi naenda kusomea faniNenda Sauti kwenye mademu wengi, MWECA midume mingi mtagombania chupi!
Arts ni mbwembwe ajira zakeNenda eduction hutajutia mkuu
Nakushauri ufate moyo wako unachopenda...mwecau kiko poa kiko moshi mjini kilimita kama 9 ivi kutoka chuo cha ushirika....sauti pia nikizuri sana maana now wanatoa elimu bora kwa eastafrica...sasa fanya maamuzi sahihi usifate habari za sijui kupara mademu angalia wapi parakufaa wew...na pata kua na tija katika maisha yako kwa baadae..ni hayo tu
Nshakupata mkuuNimedondosha baadhi ya herufi apo..nazani umeelewa si unajua tena mambo ya smartphone
Login kweny account ya chuoUmechaguliwa 2rd round????
Hahahahahaha,,,umetshaaa inaonekana hauko sawa aliye kuuudhi msameevyote hovyo! walimu wa sifa wanawatoa wapi, walimu wa kuokoteza, vyote hovyo, we nenda kokote upate li karatasi urudi uchape "kazi"!
Arleady am escaped from sorbiboKama unataka kuja saut mwanza hakikisha unajitoa education hapa ni ngumu hasa linguistic ila karibu sana
Thanks alotNenda Mwenge Catholic University kwan kiko poa sana
AsnteSaut