Anzia na prospectus yao. Kwa ufahamu wangu mdogo utasoma mambo ya ulinziwa jamii (walio makazini na wasio makazini)-kama insurance na mifuko mingine ya pension, vitu kama hivyo. Angalia hiyo iko umbali gani na kitu ulichotaka kusomea. Kama una multiple selection utafanya maamuzi kama huna basi jitahidi uelewe na kufikiria kuomba tena (sijui itakuwa rahisi kiasi gani)Nimechaguliwaaaa IFM kusomaaa BACHELOR OF SCIENCE IN SOCIAL PROTECTION..
Ahsanteee nimekuelewaaaa mkuuAnzia na prospectus yao. Kwa ufahamu wangu mdogo utasoma mambo ya ulinziwa jamii (walio makazini na wasio makazini)-kama insurance na mifuko mingine ya pension, vitu kama hivyo. Angalia hiyo iko umbali gani na kitu ulichotaka kusomea. Kama una multiple selection utafanya maamuzi kama huna basi jitahidi uelewe na kufikiria kuomba tena (sijui itakuwa rahisi kiasi gani)
Ahsanteee kwa kushiriki... MkuuHata siku moja huwezi Pangiwa fani usiyoichagua na TCU.
Ninachoshangaa inakuaje mtu anachagua fani kimzaha alafu hana uelewa hata kidogo.
Mkuu sikia nikwambie. Najua lengo lako ulikua unataka kua na degree tu haijarishi ya fani gani. Sasa wewe nenda tu katafute hiyo degree