Nida

Nida

lelo2387

Member
Joined
Jan 16, 2015
Posts
33
Reaction score
2
Habari za siku hivi kazi za nida ni internal tuu. Mbona sijawahi ona tangazo lao la kazi. Ila watu wanaajiriwa.
 
Habari za siku hivi kazi za nida ni internal tuu. Mbona sijawahi ona tangazo lao la kazi. Ila watu wanaajiriwa.

Na Kwa Taarifa Yako Tu Na Kwa Faida Ya Wengine Wengi Humu 95% Ya NIDA Staffs Ni UWT ( TISS ) Wadogo Zangu Wawili Mmoja Wa Kike ( Dada Yangu Pekee Kifamilia ) Aliyepo Makao DSTV Kwa Nyuma Na Wa Kiume Aliyepo Ofisi Ya Wilaya Temeke Jirani Kabisa Na Uwanja Wa Taifa Mpya Na Shamba La Bibi ( Kitinda Mimba Wetu Kifamilia ). Ebhana TISS ( UWT ) Wamejazana NIDA Kama Hawana Akili Nzuri ILA Binafsi Naona Ni Mkakati Mzuri Haswa Kutuzuia Watutsi ( Wanyarwanda Hatari ) Kama Sisi Akina GENTAMYCINE Tusije Tukalowea Tanzania. Leo Usiku Huu Najiandaa Kurudi Kwetu Rwanda Na Lifti Ya Ndege Ya Rais Wangu Kipenzi Na Mtukufu PAUL KAGAME..........Kwaherini Watanzania Na Karibuni Nchini Rwanda!
 
Na Kwa Taarifa Yako Tu Na Kwa Faida Ya Wengine Wengi Humu 95% Ya NIDA Staffs Ni UWT ( TISS ) Wadogo Zangu Wawili Mmoja Wa Kike ( Dada Yangu Pekee Kifamilia ) Aliyepo Makao DSTV Kwa Nyuma Na Wa Kiume Aliyepo Ofisi Ya Wilaya Temeke Jirani Kabisa Na Uwanja Wa Taifa Mpya Na Shamba La Bibi ( Kitinda Mimba Wetu Kifamilia ). Ebhana TISS ( UWT ) Wamejazana NIDA Kama Hawana Akili Nzuri ILA Binafsi Naona Ni Mkakati Mzuri Haswa Kutuzuia Watutsi ( Wanyarwanda Hatari ) Kama Sisi Akina GENTAMYCINE Tusije Tukalowea Tanzania. Leo Usiku Huu Najiandaa Kurudi Kwetu Rwanda Na Lifti Ya Ndege Ya Rais Wangu Kipenzi Na Mtukufu PAUL KAGAME..........Kwaherini Watanzania Na Karibuni Nchini Rwanda!

wasalimie angalieni dege lenu liende salama ysiwe ya ujerumani
 
Mimi nijuavyo siwezi kusema km ni internal advertisement au laa! kwani hata hao walioko huko wakivolunteer ni shida kupata nafasi ya kuajiliwa usipokuwa na mtu wa kukubeba tena aliyeshiba kicheo wakubwa wananuniana pale kwa kutofanyiwa fadhira, jaribu kutia timu pale uone idadi kubwa ya watu wakivolunteer na wanafanya kazi km wafanyakazi wengine na posho nzuri inatolewa, kuna watu wana zaidi ya miaka 4 pale toka walipomaliza vyuo.... kwanini watangaze ajira wakati kuna nguvu kazi ya kutosha tena isiyo na gharama kubwa?
 
Back
Top Bottom