NIDA wanauza nchi yetu kweupe kabisa

Hata wageni wanapewa vitambulisho vya taifa ila vina utofauti na vya mwananchi wa kawaida na wakimbizi wanaoishi nchini kihalali nao wanapewa pia ila vina tofautiana
 
Usiwe liji.n.g.a na wewe.Mijitu mingine sijui ikoje,linapokuja suala ambalo ni kwa maslahi ya taifa yenyewe inaleta upu.uzi tu.Idiot!!

pole sana Baby J ila bado sijajua bado upo zenji au ushaolewa, manake siku hizi sisikii kabisa nyimbo zako au umeacha kukata nyonga? soma coments zote alafu utajiona ulivyo fara.si
 
ebu nifumbue macho na mimi, kwani ni kosa kwa huyo uliyemwita mgeni kupata id? toa sababu,
kwani huyo mtu akipewa uraia wa tz nida hawapaswi kumpa id? toa sababu pia, au kiingereza kilikupa presha?

Usiwe liji.n.g.a na wewe.Mijitu mingine sijui ikoje yaani. Linapokuja suala lenye maslahi kwa taifa yenyewe inaleta upu.uzi tu ilimradi na yenyewe ionekane imechangia, idiot!
 
Ndugu wanabodi leo nikiwa ofisi za mamlaka ya vitambulisho Kinondoni,nimeshuhudia mgeni akipigwa picha tayari kupatiwa kitambulisho.Aliletwa na Mtanzania na wala hakukaa kwenye foleni,alipofika kwa mpiga picha aliulizwa umeajiriwa? hakujibu ndipo afisa akauliza tena kwa kizungu cha ugoko "you employed? mzungu hakujibu,afisa mwingine mnene mweupe akambonyeza mwenziye aendelee na zoezi.Mzungu akafanikiwa akasepa huku akisindikizwa na wabongo wawili.Jamani NIDA waangaliwe vizuri.
Sheria inataka hata wageni wanaoishi Tanzania wapewe vitambulisho vya ukazi (siyo uraia). Kwa hiyo usianze kulaumu bila kuwa na details za kutosha
 
Kama wewe ulishasoma hiyo link nipe jibu simple and clear ili unieleweshe tuendelee na mjadala

Sawa viitambulisho natolewa kwa raia wa Tanzania, wageni walioishi nchini zaidi ya miezi 6 na wakimbizi. Hii ni kwaajili ya kutambua kati ya raia na asie raia. Pia taarifa za kitambulisho hapo baadae zitatumika TRA, POLICE, UNIVERSITIES, nk., kwa maana hiyo hata wageni na wakimbizi wanahaki za kupata baadhi ya huduma tajwa
 
Usiwe liji.n.g.a na wewe.Mijitu mingine sijui ikoje yaani. Linapokuja suala lenye maslahi kwa taifa yenyewe inaleta upu.uzi tu ilimradi na yenyewe ionekane imechangia, idiot!

baby j ushaona mataputapu yako umeamua kukaa kimya, MCHINA WA KARIAKOO WEWE,
 
Sheria inataka hata wageni wanaoishi Tanzania wapewe vitambulisho vya ukazi (siyo uraia). Kwa hiyo usianze kulaumu bila kuwa na details za kutosha

soma vizuri uelewe hoja ya msingi ni nini.
 
Sawa viitambulisho natolewa kwa raia wa Tanzania, wageni walioishi nchini zaidi ya miezi 6 na wakimbizi. Hii ni kwaajili ya kutambua kati ya raia na asie raia. Pia taarifa za kitambulisho hapo baadae zitatumika TRA, POLICE, UNIVERSITIES, nk., kwa maana hiyo hata wageni na wakimbizi wanahaki za kupata baadhi ya huduma tajwa

OK kwa hiyo hivi vitambulisho ni kwa ajili ya kupata huduma tajwa TU na siyo vya uraia wa nchi ya Tanzania?
 
OK kwa hiyo hivi vitambulisho ni kwa ajili ya kupata huduma tajwa TU na siyo vya uraia wa nchi ya Tanzania?

Vitafanya kazi ya kutambua raia na asie raia. Na pia kuwezesha utoaji huduma mbali mbali za kijamii kwa kutumia taarifa zinazolandana kwa mtu husika. So ni zaidi ya uraia mkuu
 
Vitafanya kazi ya kutambua raia na asie raia. Na pia kuwezesha utoaji huduma mbali mbali za kijamii kwa kutumia taarifa zinazolandana kwa mtu husika. So ni zaidi ya uraia mkuu

Ohoo! Kumbe ni kitambulisho cha kutambua RAIA na asiyekuwa RAIA , sasa huyu white Pipo kwanini hakupanga mstari aende mwenyewe freely kuchukua kitambulisho au wait Pipo ni tofauti na blaki Pipo ktk kuchukua vitambulisho?
 
Ndugu wanabodi leo nikiwa ofisi za mamlaka ya vitambulisho Kinondoni,nimeshuhudia mgeni akipigwa picha tayari kupatiwa kitambulisho.Aliletwa na Mtanzania na wala hakukaa kwenye foleni,alipofika kwa mpiga picha aliulizwa umeajiriwa? hakujibu ndipo afisa akauliza tena kwa kizungu cha ugoko "you employed? mzungu hakujibu,afisa mwingine mnene mweupe akambonyeza mwenziye aendelee na zoezi.Mzungu akafanikiwa akasepa huku akisindikizwa na wabongo wawili.Jamani NIDA waangaliwe vizuri.

Vitambulisho vya NIDA sio uraia. Hivyo ni vitambulisho kwa ajili ya wakazi wote - wenyeji na wageni. Hata wewe ukienda nchi nyingine, ukapata permit una haki ya kupewa kitambulisho kama vya NIDA. Usijali sana.
 
ndugu mtoa mada we ni uowogo kabisa,kitu usichokijua usiandike kwenye mitandao,Rangi ya mtu si creteria ya uraia na mtu akipigwa picha pia hatua ndogo katika system ya ID production hivyo kupigwa picha si kwamba umepata id ,MAMBO YA KITAIFA HAYA SI YA KULETA MSAHA NDUGU,
 
Masha hujaieleza vizuri ikaeleweka bali umekimbilia kwenye majumuisho ya kuuza nchi! Mimi nimekurejea tu katika sheria.

Kama mimi hujanielewa,soma mchango wa GHIBUU hadi mwisho.Hoja ni kukiukwa utaratibu,hakuna usawa kwenye uhakiki wa nyaraka kati hao jamaa na sisi.
 
Kumbuka hata wageni wanatakiwa kupewa vitambulisho. Ila vyao ni tofauti na vya raia. Kwa hiyo usishangae na kile ulichokiona.
 
ndugu mtoa mada we ni uowogo kabisa,kitu usichokijua usiandike kwenye mitandao,Rangi ya mtu si creteria ya uraia na mtu akipigwa picha pia hatua ndogo katika system ya ID production hivyo kupigwa picha si kwamba umepata id ,MAMBO YA KITAIFA HAYA SI YA KULETA MSAHA NDUGU,

Asante kwa kuniita muongo,wewe unaakili sana na ubarikiwe.Ila kwenye mijada hatumshambulii mtu bali hoja ndio hujadiliwa.Chunguza mchango wako na wengine uone tofauti iliyopo.Jiulize hivi kwenye suala la vitambulisho vya urai mtu alete masihara kwa faida ya nani.
 
Ndugu wanabodi leo nikiwa ofisi za mamlaka ya vitambulisho Kinondoni,nimeshuhudia mgeni akipigwa picha tayari kupatiwa kitambulisho.Aliletwa na Mtanzania na wala hakukaa kwenye foleni,alipofika kwa mpiga picha aliulizwa umeajiriwa? hakujibu ndipo afisa akauliza tena kwa kizungu cha ugoko "you employed? mzungu hakujibu,afisa mwingine mnene mweupe akambonyeza mwenziye aendelee na zoezi.Mzungu akafanikiwa akasepa huku akisindikizwa na wabongo wawili.Jamani NIDA waangaliwe vizuri.

Mkuu umedanganya. Vitambulisho havitolewi papo kwa papo. Baada ya kujaza details mnasubiri majina yatoke . Majina yakishatoka mnaenda kupiga picha ambapo ukishapiga picha na kuweka alama za vidole mnapewa kijikalatasi ambacho mtaonyesha siku ya kuja kuchukua kitambulisho.

vitambulisho vikitoka unaonyesha kalatasi ulopewa unasaini unapewa kitambulisho. Huo utaratibu wako sijajua ni wawapi. Mtu aje ajaze apewe kitambulisho!? Makubwa.
 
Mkuu umedanganya. Vitambulisho havitolewi papo kwa papo. Baada ya kujaza details mnasubiri majina yatoke . Majina yakishatoka mnaenda kupiga picha ambapo ukishapiga picha na kuweka alama za vidole mnapewa kijikalatasi ambacho mtaonyesha siku ya kuja kuchukua kitambulisho.

vitambulisho vikitoka unaonyesha kalatasi ulopewa unasaini unapewa kitambulisho. Huo utaratibu wako sijajua ni wawapi. Mtu aje ajaze apewe kitambulisho!? Makubwa.

Mwalimu wako alikua na kazi sana,ni wapi kwenye uzi nimesema kapewa id. Kwakweli JF kuna mengi.
 
Back
Top Bottom