Kuhara
Member
- Apr 21, 2018
- 47
- 43
NIDA Kuna Jambo linaendelea katika simu za Wananchi ambao Hawajasajiliwa na hata kujiandikisha ili Wapate Namba Ya Uraia Wa Tanzania, Nalo ni Wanapokea Ujumbe Wenye namba za Uraia tokea NIDA na wanafurahia kufikiria Mumeamua kuzigawa kwa Mtindo huo Pasipo jiandikisha ama lah na Mwisho wa siku Wakienda kusajiri wanajibiwa Umetumiwa kimakosa Namba ni Ya mtu Mwingine.
Sawa ila imekaaje hapo Tafadhari Kiusalama Namba ya Uwesu kutumiwa Chijinga?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa ila imekaaje hapo Tafadhari Kiusalama Namba ya Uwesu kutumiwa Chijinga?.
Sent using Jamii Forums mobile app
