Huyu mjinga angetumia vizuri tu mafao yake, trip hii hatumupi.bara bara ya kwenda Lugumbu ni handaki.Mbunge wa Igunga anayemaliza muda wake, Nicholaus Ngassa amechukua fomu ya kuwania tena ubunge kwa mara nyingine.
Ngassa amechukua na kuirejesha fomu hiyo leo Jumapili, Juni 29, 2025 kwa Katibu wa CCM Wilaya ya Igunga, Ebeneza Mainoya.
View attachment 3388412