JK anasikitisha sana, wasaidizi wake wanamfanya kama babu yao,..au paka wanamchezea sharubu tu, maana walimuingiza chaka kwenye kukabidhi cheki, wakamwingiza chaka kwenye kukabidhi gari la wagonjwa,..na kama haitoshi sheria ya uchaguzi chaka,,. kwenye tucta kadanganywa kuhusu muda, maskini JK...