Nianzie wapi kusoma programming Languages

geniusbaraka

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
795
Reaction score
155
Naomba Mnishauri Mtiririko Mzuri Wa Kuxoma Hiz Programing Languages Yani Nianze Na Ipi Na Ipi Ifate Na Kuendelea, Nataka Nianze Leo Jaman
 
anza kusoma C-language halafu tumia compiler Turbo C,halafu soma advanced C,hapo ukiwa vizuri cheki java au C++,lakn mi nilienda na java moja kwa moja wakati huohuo jifunze na visual basic tumia version6.ukiona uko vizuri piga na web programming...
 
ukianza kwa kusoma c au c++ itakuwa vizuri lakini hata pascal ingawa ni ya kitambo
 
Kwanza jifunze vizuri sana C language na wakati wa kujifunza nakushauri usitumie windows tumia Os yoyote ya Linux ukipata Ubuntu,OS lunar sio mbaya hata Mac OS X unaweza kutumia. Ukielewa vizuri syntax za C languages hizo nyngine syntax nyingi huwa zinafanana vitu vichache sana vinaongezeka. Kwa hiyo ukitoka C unaweza kujump to Java ambayo ni Object Oriented kama unataka kupiga pesa kisela unaweza kuvamia hata PhP,HTML & CSS,MySQL ila cha umihumu uwe deep katika C
 
Kiswahili tu unaandika hivi, je syntax za programming utaziweza!!? Labda kama unasoma kujifurahisha na sio programmer
 
anza kusoma C-language halafu tumia compiler Turbo C,halafu soma advanced C,hapo ukiwa vizuri cheki java au C++,lakn mi nilienda na java moja kwa moja wakati huohuo jifunze na visual basic tumia version6.ukiona uko vizuri piga na web programming...

xawa xawa kaka nimekuxoma
 
hapana ndugu,everythng is possible usimkatishe tamaa anaweza akaja kua bakhresa wa baadae

haa mmwamba umejuaje mana nina mipango xana , i like people like u , xo interested
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…