anza kusoma C-language halafu tumia compiler Turbo C,halafu soma advanced C,hapo ukiwa vizuri cheki java au C++,lakn mi nilienda na java moja kwa moja wakati huohuo jifunze na visual basic tumia version6.ukiona uko vizuri piga na web programming...
Kwanza jifunze vizuri sana C language na wakati wa kujifunza nakushauri usitumie windows tumia Os yoyote ya Linux ukipata Ubuntu,OS lunar sio mbaya hata Mac OS X unaweza kutumia. Ukielewa vizuri syntax za C languages hizo nyngine syntax nyingi huwa zinafanana vitu vichache sana vinaongezeka. Kwa hiyo ukitoka C unaweza kujump to Java ambayo ni Object Oriented kama unataka kupiga pesa kisela unaweza kuvamia hata PhP,HTML & CSS,MySQL ila cha umihumu uwe deep katika C
anza kusoma C-language halafu tumia compiler Turbo C,halafu soma advanced C,hapo ukiwa vizuri cheki java au C++,lakn mi nilienda na java moja kwa moja wakati huohuo jifunze na visual basic tumia version6.ukiona uko vizuri piga na web programming...