Akina mama mpo! Tunaendeleza mapinduzi ya kijinsia na kuondoa mfumo Dume, tulianzia bungeni kwa spika mwanamke sasa katibu mkuu wa CCM lazima awe mwanamke........Wanawake oyeeeeeeeeee!
ukatibu wa ccm unahitaji mtu asieumiza kichwa wakati kuna jambo zito la chama na kitaifa wat matters is kuropoka tuu like makamba so hata shemeji wa pale sinza mori atafaa sana