Ni jambo zuri kuwa mzalendo kwa Nchi yako. Fahamu taasisi iliyotoa vyeti hivyo mfano. NACTE, UNIVERSITY, NECTA then andika taarifa kamili, usiandike jina lako wala chochote kitakachokutambulisha then tuma/peleka kwa taasisi husika nakala wape usalama wa taifa au utumishi.