Ni wapi nitapata official Sumsung phone delers kwa DAR

Ni wapi nitapata official Sumsung phone delers kwa DAR

Mkumbo Health

Member
Joined
Apr 17, 2016
Posts
37
Reaction score
23
Wadau wa greater thinker habari zenu.
Uzi wangu upo direct sana, napenda kufahamu ni maduka gani ambayo ni official naweza kupata simu og za sumsung ikiwemo warant. Nataka j7 PRO yenye 32 HDD.
Mwenye ufahamu anitajie ama nipe location nipate kuwaendea.

Nb mimi siyo mdau wa simu used
 
safi, fika posta mpya, duka lipo kati ya benjamin tower na crossing ya samora+azikiwe
 
Gerezani kariakoo linaangalizana na kituo cha mwendokasi, jmall mjini pia lipo. Sema kuwa makini wapo pia wanaoeka cha juu humo. bongo hii.
 
Gerezani kariakoo linaangalizana na kituo cha mwendokasi, jmall mjini pia lipo. Sema kuwa makini wapo pia wanaoeka cha juu humo. bongo hii.
Asante Chief. Linaitwaje hilo duka ntajaribu kukomaa nao wapunguze bei
 
Back
Top Bottom