Tripo9
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 4,352
- 3,533
Mwanangu 6 yr old girl anapenda sana michezo. Shule zetu hizi za ku cremisha cremisha hawajali Sana michezo. Je, wapi nitaweza kuwa nampeleka mwanangu kucheza hasa hasa baada ya school hours maana yeye anatoka saa nane mchana.
Tupo Tabata lakini nitajieni popote ndani ya Dar.
Michezo iko mingi: Judo, karate, football, netball, riadha, swimming. Any
NB: Huwa nampeleka uwanja flani anakimbia kimbia tu sasa haitoshi.
Tupo Tabata lakini nitajieni popote ndani ya Dar.
Michezo iko mingi: Judo, karate, football, netball, riadha, swimming. Any
NB: Huwa nampeleka uwanja flani anakimbia kimbia tu sasa haitoshi.