Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,156
Kaka ile mitaa yetu ya Kino michezo hii inapatikana wapiMambo hayo umenikumbusha enzi hizo watu wako kwA mchezaji.....vitu hivyo Kuna nini fulani vinafanyika sana.....
OVA
Kaka ile mitaa yetu ya Kino michezo hii inapatikana wapiMambo hayo umenikumbusha enzi hizo watu wako kwA mchezaji.....vitu hivyo Kuna nini fulani vinafanyika sana.....
OVA
KUNA WANANGU FULANI NLIKUWAGA NAO KWA PELE WALIJARIBU KUULETAGA HUU MCHEZO HAPA BONGO MITAA YA STEREO AH ILA HAWAKUKAA SANA BONGO WALIONDOKAGA.....KI UKWELI KWA SASA HUKUNA...MAANA HUU MCHEZO INABIDI UPATE SEHEMU YEBYE ENEO KUBWAKaka ile mitaa yetu ya Kino michezo hii inapatikana wapi
Nimesahau kitu kupumzika kati ya seti moja ya mazoezi na nyingine ni dakika moja. Mfano ukimaliza seti ya squat unapumzika dakika moja kisha unaanza seti ya zoezi jingine.Ustadhi ukikosa kabisa capoera fuata routine hii iko vizuri itakuacha ukiwa mwili umejaa na hapo hapo unaukata, ni protocol inayoitwa tabata workout. Nimeona ukisema umeruka sarakasi so naassume uko fiti kuweza nitakachokuambia.
Anza kwa kufanya squats 20 pumzika sekunde 10 fanya hivi kwa seti 4.
Piga push ups (za kawaida) 20 pumzika sekunde 10 fanya hivi kwa seti 4.
Piga push ups (miguu iwe juu ya kitu kilichoinuka mfano stuli) 20 pumzika sekunde 10 fanya hivi kwa seti 4.
Piga romans push ups 10 pumzika sekunde 7 fanya hivi kwa seti 4.
Kama nyumbani kwako kuna sehemu unaweza kuning'inia kwa mikono miwili ukiitanua usawa wa mabegamfano getini jivute juu (pull ups) 10 pumzika sekunde 5 fanya hivi kwa seti 4.
Hapa utakua umemaliza zoezi.
N.B si lazima kuanza kila zoezi nililotaja unaweza kufanya mawili kati ya haya na kuongeza kadri muda utakavyoenda. Pia at the mean time anza jogging, hili zoezi haijalishi unakula nini ni utanyooka tu unachohitaji ni utayari tu.
Mkuu mamestre wapo wachache sana hapa nchini ila kuna jamaa wanatuongoza but Ni mchezo mzuri sana kwa kweli!!Capoera hamna bongo master halafu unatakiwa uanze ukiwa na umri mdogo flexibility inahitajika sana kujifunza dance of death.
nataka niku Scorpio you!! au we hutakiNaona unataka kua scorpion
thanks Mkuu!! hata hivyo mi nilikuwa vizuri ktk muay Thai na jujitsu hivyo Capoera si tu kuounguza uzito Bali upo damuni....Ni mchezo unaonifanya kupata marafiki wengi wa nje ya nchi in short Capoera wazungu wanaithamini kuliko sisi wabongoUstadhi ukikosa kabisa capoera fuata routine hii iko vizuri itakuacha ukiwa mwili umejaa na hapo hapo unaukata, ni protocol inayoitwa tabata workout. Nimeona ukisema umeruka sarakasi so naassume uko fiti kuweza nitakachokuambia.
Anza kwa kufanya squats 20 pumzika sekunde 10 fanya hivi kwa seti 4.
Piga push ups (za kawaida) 20 pumzika sekunde 10 fanya hivi kwa seti 4.
Piga push ups (miguu iwe juu ya kitu kilichoinuka mfano stuli) 20 pumzika sekunde 10 fanya hivi kwa seti 4.
Piga romans push ups 10 pumzika sekunde 7 fanya hivi kwa seti 4.
Kama nyumbani kwako kuna sehemu unaweza kuning'inia kwa mikono miwili ukiitanua usawa wa mabegamfano getini jivute juu (pull ups) 10 pumzika sekunde 5 fanya hivi kwa seti 4.
Hapa utakua umemaliza zoezi.
N.B si lazima kuanza kila zoezi nililotaja unaweza kufanya mawili kati ya haya na kuongeza kadri muda utakavyoenda. Pia at the mean time anza jogging, hili zoezi haijalishi unakula nini ni utanyooka tu unachohitaji ni utayari tu.
ha ha ha umetishaMi nikajua unataka kuwa ulinzi shirikishi mtaani kumbe kupunguza kilo? Kakope mkopo mkubwa ushindwe kulipa zitapungua tu.
Ustadhi ukikosa kabisa capoera fuata routine hii iko vizuri itakuacha ukiwa mwili umejaa na hapo hapo unaukata, ni protocol inayoitwa tabata workout. Nimeona ukisema umeruka sarakasi so naassume uko fiti kuweza nitakachokuambia.
Anza kwa kufanya squats 20 pumzika sekunde 10 fanya hivi kwa seti 4.
Piga push ups (za kawaida) 20 pumzika sekunde 10 fanya hivi kwa seti 4.
Piga push ups (miguu iwe juu ya kitu kilichoinuka mfano stuli) 20 pumzika sekunde 10 fanya hivi kwa seti 4.
Piga romans push ups 10 pumzika sekunde 7 fanya hivi kwa seti 4.
Kama nyumbani kwako kuna sehemu unaweza kuning'inia kwa mikono miwili ukiitanua usawa wa mabegamfano getini jivute juu (pull ups) 10 pumzika sekunde 5 fanya hivi kwa seti 4.
Hapa utakua umemaliza zoezi.
N.B si lazima kuanza kila zoezi nililotaja unaweza kufanya mawili kati ya haya na kuongeza kadri muda utakavyoenda. Pia at the mean time anza jogging, hili zoezi haijalishiunakula nini ni utanyooka tu unachohi
haahahhhhhaaahha!! Mkuu capoera Ni tofauti sana na karate ..kapoera Ni kama dance fighting..fungua hiyo link hapo juu utaona capoeraustadhi mbona ghafla mazoez ya karate kulikon? Umeahidiwa nini baada ya kifo
Ahaaa basi haina shida kiongozi, nilifikiri ilikua ni kwa lengo la uzito.thanks Mkuu!! hata hivyo mi nilikuwa vizuri ktk muay Thai na jujitsu hivyo Capoera si tu kuounguza uzito Bali upo damuni....Ni mchezo unaonifanya kupata marafiki wengi wa nje ya nchi in short Capoera wazungu wanaithamini kuliko sisi wabongo
Mkuu inaonyesha upo vizur sanaAhaaa basi haina shida kiongozi, nilifikiri ilikua ni kwa lengo la uzito.