Ni wanawake wangapi utasikia wakihitaji kuzaa tu bila ndoa?

Ni wanawake wangapi utasikia wakihitaji kuzaa tu bila ndoa?

Mello

Senior Member
Joined
May 7, 2017
Posts
110
Reaction score
207
Rejea uzi wangu, niliyotupia siku chache zilizopita, nikihitaji "mwanamke wa kuzaa nae tu" wanawake wengi walinishambulia sana, bila kujua kuwa hata mimi nina sababu zangu za msingi kabisa. Ni mara ngapi tumeona wadada wengi utawasikia, " mimi sihitaji ndoa, nahitaji mtoto tu" lakini hujawahi kusikia wanaume tukitukana au kuwashambulia kwa maneno ya kuudhi.

Jamani si kila mwanamke utakayezaa nae ni lazima umuoe. Mimi nahitaji watoto wawili tu inatosha, sihitaji ndoa, nitalea mimba, na ukishajifungua nitalea watoto wangu vizuri, hata ukitaka nikufanyie chochote nitakufanyia, ikiwemo nyumba, usafiri na hata Biashara. Lakini nizalie tu basi kama utataka kuolewa na mtu mwingine baadae sina tatizo na hilo, ruksa. I hope nimeelewa kwa kina dada.

Plz huu ndo msimamo wangu.
 
Better them than we, son. It's a man's world apparently, hence their defenses so up.
 
Rejea uzi wangu, niliyotupia Siku chache zilizopita, nikihitaji "mwanamke wa Kuzaa Nae Tu" wanawake wengi walinishambulia sana, bila kujua kuwa hata Mimi nina Sababu zangu za Msingi Kabisa. Ni mara Ngapi tumeona wadada wengi utawasikia, " Mimi sihitaji Ndoa, Nahitaji Mtoto tu" lakini hujawahi kusikia Wanaume tukitukana au kuwashambulia kwa Maneno ya Kuudhi. Jamani si Kila mwanamke utakayezaa nae ni Lazima umuoe. Mimi Nahitaji watoto wawili tu inatosha, Sihitaji Ndoa, Nitalea Mimba, na Ukishajifungua Nitalea watoto wangu vizuri, hata ukitaka nikufanyie Chochote nitakufanyia, ikiwemo Nyumba, Usafiri na hata Biashara. Lakini Nizalie tu Basi.. Kama utataka Kuolewa na mtu mwingine badae sina Tatizo na Hilo, Ruksa...I hope nimeelewa kwa Kina Dada, Plz huu ndo Msimamo wangu.[/QUO
Jesus!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Sasa hivi wapo kivingine wanataka ndoa na watoto wasiyozidi watatu ukimletea sharubu tu!
unaweza fanyiwa visa ukaondoka wewe na watoto ukabaki kuwatazama facebook na matumiz utatoa kamakawaida.
 
kama upo tayari kugharamia nyumba yangu ya kuishi, na kuniwekea dada wa kazi njoo nikuzalie.nyie mnapenda tu kutoa sperm mkimbie.kama upo tayari kugharamia njoo nikuzalie watoto utakao
Mwambie kabisa vinasaba ni marufuku!
 
Mimi walishakuja wadada kama watatu hivi kwa nyakati tofauti..sera yao ni kwamba wanataka mtoto na mimi..nikawauliza kulea jukumu la nani, wakasema watalea wao...nikasema noooo waaay...sitaki usumbufu...maana huko mbeleni tutasumbuana tu
 
kama upo tayari kugharamia nyumba yangu ya kuishi, na kuniwekea dada wa kazi njoo nikuzalie.nyie mnapenda tu kutoa sperm mkimbie.kama upo tayari kugharamia njoo nikuzalie watoto utakao
Mkuu hapo ushindwe wewe tu .
 
Mimi nahitaji watoto wawili tu inatosha, sihitaji ndoa, nitalea mimba,
hapo mimi umeniacha njia panda kidogo.
 
Mkuu;
Kuna kitu kinaitwa ndoa za mikataba. Andikianeni na huyo mwanamke. Akuzalie hao watoto (Akuzalie) yaani watokane na mama mmoja tu. Mjengee hilo jumba, mfungulie hiyo biashara. Hii ni security ya wanao, achana naye baada ya miaka 5. Watoto wako uwe ukiwajulia hali wasije kukusahau. Urithi umesha wapa. Kweli hiyo ni plan nzuri sana.
 
All in all watoto ndo watakao kuwa affected , watoto wanahitaji malezi ya baba na mama kabla ya kufanya maamuzi angalia pande zote mbili
 
Back
Top Bottom